Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nisindikize hospital bas,na kiza hiki mie naogopa pekeyangu π€§Ukiinama kizembe kamasi hiloo[emoji16]
Kitamba kisikae mbali na mkono[emoji16]
Ukiwa kwenye mazungumzo inatakiwa utazame juu zaidi ya 90Β° vinginevyo kamasi linaporomoka[emoji16]
Usisogee karibu na moto/jikoni vinginevyo kamasi litatia timu mbogani (iwe siri yako lakini)[emoji16]
Usiombe hili tatizo (mafua) likupate ni shida!!
To yeye jiandae kupokea kikohozi maana hawa jamaa ni mapartner!
Tena usiombe ukutane na kikohozi kile standard (kinapatikana afrika tu[emoji41])
Yaani ukikohoa lazima kila mtu akutazame, maana watahisi umelipuka![emoji4]
Kama una mafua peke yake; dawa ya uhakika ni maji, chukua maji chemsha, kanda paji la uso ukienda kulala ni siku 2 tu, ya tatu finishing[emoji4]
Limao ni dawa kwa wachache sana!
daah, umenisisimua qmmmmqForeplay denda si lahusika? Unataka uniue? Nitapumuaje unavyoninyonya ulimi?π
aje PM chap, natupa kopo la babycare kuleπππ ashindwe mwenyewe sasa
daah mbona unakatisha utamu πππ€£π€£ Mgongoni mpaka wapi? Tuanzie hapo kwanza
We njoo, hakuna tozo yoyote; napenda uwe una afya njema ili uendelee kuchangia mada hapa jukwaani π ππ€Jaman
Asante sana best kilagiugonjwa wa mafua ni ugonjwa unaotokana na virusi,huko ulaya wanakufaga kwa ugonjwa huu wa mafua,ugonjwa wa mafua hauna dawa hivyo unaponaga wenyewe tu, dawa unazoziona niza kupunguza makali yake tu. ugua pole
Na hivi ni black, atakuwa wa mootoo ππaje PM chap, natupa kopo la babycare kule
Nipe location nije chap muhimu kusaidiana uweze kupona kwa haraka π ππ€£π€£π€£ Lazima upige uyowe mkuu....na mafua haya
wewe tena π₯°Aiseee,nimesoma tena bhana π
daaah hizi mvua hiziNipe location nije chap muhimu kusaidiana uweze kupona kwa haraka π π