Mafua ni ugonjwa jamani!

Koona
 
Huwa napata tabu sana wakati wa kulala, yaani shuka lisiwe na vumbi hata kidogo, la sivyo usiku unakuwa mrefu na nitashindwa kulala. Ndio maana haa kwenda ugenini ni ishu sana kwangu!🤦🤦
Wee,mie ningekuwa nakukomoa....ukinikera tu sinawi miguu,nalala ivoivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…