Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
hiyo ni siri ya kambi.Ebu tuambieni mmotokeana wapi? 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni siri ya kambi.Ebu tuambieni mmotokeana wapi? 😀 😀
Upo Sana Sana Umerudi Kwa Kasi😳Huu ugonjwa umerudi eti?
[emoji38][emoji38] kumbe na lubisi unaijuwa[emoji23]Huyo Nshomile anakula senene na lubisi sasa hivi 😀 😀
Nilishaigonga hiyo kitu miaka ya nyuma[emoji38][emoji38] kumbe na lubisi unaijuwa[emoji23]
[emoji848] bila shaka ndimasi sio kitu kigeni kwako[emoji38]Nilishaigonga hiyo kitu miaka ya nyuma
ndimasi ndio nini?[emoji848] bila shaka ndimasi sio kitu kigeni kwako[emoji38]
[emoji16]mkuu kwahyo unataka afe kabisa??Jaza Ugoro puani.
KoonaYaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
Huwa napata tabu sana wakati wa kulala, yaani shuka lisiwe na vumbi hata kidogo, la sivyo usiku unakuwa mrefu na nitashindwa kulala. Ndio maana kwenda ugenini ni ishu sana kwangu!🤦🤦🤣🤣🤣Nakutania bhana
[emoji3]akikufuata inbox niambie nichome jukwaaMweleze,mweleze huyo
Wee,mie ningekuwa nakukomoa....ukinikera tu sinawi miguu,nalala ivoivoHuwa napata tabu sana wakati wa kulala, yaani shuka lisiwe na vumbi hata kidogo, la sivyo usiku unakuwa mrefu na nitashindwa kulala. Ndio maana haa kwenda ugenini ni ishu sana kwangu!🤦🤦
Sikomoki hivyo, ila huwa nawashwa hadi nabadili shukaWee,mie ningekuwa nakukomoa....ukinikera tu sinawi miguu,nalala ivoivo