Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 akikutesa uje huku ule mema ya dunia; sasa hivi ungekuwa umekumbatiwa kifuani na hayo mafua yasingekuwepoMwachie bhana kaka wa watu
Unitakii mema, unataka nimwage mpaka ubongo 😀 😀Ngoja nikusweke ndani,🤒
😀 😀 😀 ameninong'oneza eti anataka tamu yanguni wapi amesema hivyo? Ndg angalia usije ukajuta kuzaliwa[emoji28][emoji28][emoji41]
Pole, mimi huwa nikiona dalili tu natafuta piliton na nikinywa mara moja tu kwisha habari ya mafuaYaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
Usipende maisha ya upweke, the man is here 😀 😀Nipo naangalia movie hapa,nivute muda nilale
Hizo ni kelele za chura tu, nipo hapa ukraine napangua makombora nikija huko nitakuwa na uzoefu tosha 😀 😀
Usikwepeshe maneno; sema kweli ulichomaanisha 😀 😀Ndani Ipi? Jela I meant
[emoji16]hiyo inaondoka na maji muda si mrefu hujuwi mimi na To yeye tumetoka wapi[emoji41]😀 😀 😀 ameninong'oneza eti anataka tamu yangu
Kwanini unifukuze, kosa langu ni lipi hapo?😳Mkeo anakaz,mie ningeshakufukuza muda mrefu🙄
tutaona kati ya mimi mtengenezaji na wewe mpanguaji nani profeshenali![emoji41] Nshomile tuchagulie uwanja mmoja wapo hapo darHizo ni kelele za chura tu, nipo hapa ukraine napangua makombora nikija huko nitakuwa na uzoefu tosha 😀 😀
Ebu tuambieni mmotokeana wapi? 😀 😀[emoji16]hiyo inaondoka na maji muda si mrefu hujuwi mimi na To yeye tumetoka wapi[emoji41]
Huyo Nshomile anakula senene na lubisi sasa hivi 😀 😀tutaona kati ya mimi mtengenezaji na wewe mpanguaji nani profeshenali![emoji41] Nshomile tuchagulie uwanja mmoja wapo hapo dar