Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
[emoji38]mimi niliwahi kuchoma bweni, sijakusimulia eehHawez thubutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38]mimi niliwahi kuchoma bweni, sijakusimulia eehHawez thubutu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Equation x jiandae[emoji38]]emoji38] mimi niliwahi kuchoma bweni, sijakusimulia eeh
Sikomoki hivyo, ila huwa nawashwa hadi nabadili shukaWee,mie ningekuwa nakukomoa....ukinikera tu sinawi miguu,nalala ivoivo
@equation x ameogopa, hebu mbembeleze ili tufanikishe zoezi letu[emoji23]Ila Nimecheka kweli
Tafuta nasal spray .tembea nayo popote..utakaa sawa...picha imegoma kuja....mie natumia kampuni ya avamys fluticasobe nasal spray sunspension .pole...nakuelewa sana hiyo keroHuwa napata tabu sana wakati wa kulala, yaani shuka lisiwe na vumbi hata kidogo, la sivyo usiku unakuwa mrefu na nitashindwa kulala. Ndio maana kwenda ugenini ni ishu sana kwangu!🤦🤦
Wewe ni chuma lazima nikuchukue; halafu nakuja na pingu kumkamata huyu mchoma bweni, tulikuwa tunamtafuta sana, lazima tumpe miaka 30 jela, akija kutoka anakuta utamu ulishaisha, au unasemaje my sweet heart 2 b? 😀 😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Equation x jiandae
🤣🤣🤣Nakuwa nishakuwa kibibi yeye kibabu...Kwa bed twaangaliana tuWewe ni chuma lazima nikuchukue; halafu nakuja na pingu kumkamata huyu mchoma bweni, tulikuwa tunamtafuta sana, lazima tumpe miaka 30 jela, akija kutoka anakuta utamu ulishaisha, au unasemaje my sweet heart 2 b? 😀 😀
View attachment 2650353
Yaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.
Hicho ni chuma cha mjerumani, lazima nikichukue, sisikii na wala sioni 😀 😀@equation x ameogopa, hebu mbembeleze ili tufanikishe zoezi letu[emoji23]
Vitendea kazi vinakuwa vimesinyaa muda wote 😀 😀🤣🤣🤣Nakuwa nishakuwa kibibi yeye kibabu...Kwa bed twaangaliana tu