Mafua ni ugonjwa jamani!

Mafua ni ugonjwa jamani!

Huwa napata tabu sana wakati wa kulala, yaani shuka lisiwe na vumbi hata kidogo, la sivyo usiku unakuwa mrefu na nitashindwa kulala. Ndio maana kwenda ugenini ni ishu sana kwangu!🤦🤦
Tafuta nasal spray .tembea nayo popote..utakaa sawa...picha imegoma kuja....mie natumia kampuni ya avamys fluticasobe nasal spray sunspension .pole...nakuelewa sana hiyo kero
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Equation x jiandae
Wewe ni chuma lazima nikuchukue; halafu nakuja na pingu kumkamata huyu mchoma bweni, tulikuwa tunamtafuta sana, lazima tumpe miaka 30 jela, akija kutoka anakuta utamu ulishaisha, au unasemaje my sweet heart 2 b? 😀 😀

mj.jpg
 
Wewe ni chuma lazima nikuchukue; halafu nakuja na pingu kumkamata huyu mchoma bweni, tulikuwa tunamtafuta sana, lazima tumpe miaka 30 jela, akija kutoka anakuta utamu ulishaisha, au unasemaje my sweet heart 2 b? 😀 😀

View attachment 2650353
🤣🤣🤣Nakuwa nishakuwa kibibi yeye kibabu...Kwa bed twaangaliana tu
 
Back
Top Bottom