Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kesho nipo hapo mlangoni kwako🤣🤣🤣 Sawasawa...maji utaita mma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho nipo hapo mlangoni kwako🤣🤣🤣 Sawasawa...maji utaita mma
Yananitesa week mbili sasa, kuna muda pumzi inakata na masikio yanaziba yaani vurugu mechiYaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
mimi nikitoka huko wewe pia nakupeleka! Nasikitika kukwambia kuwa utarudi umefariki!![emoji119]Vitendea kazi vinakuwa vimesinyaa muda wote 😀 😀
alafu hata ukiwa mwanaume, mbele ya mafua lazima uwe mrembo!!Yananitesa week mbili sasa, kuna muda pumzi inakata na masikio yanaziba yaani vurugu mechi
hahaha pole mkuu. Co mwisho wa maisha af wa miaka hii hauna makali tofaut na wa 90
Nimemtuliza mtoto hapa anapata dozi nzito ya mafua, akishamaliza kupata dozi atarejea kwenye uzi wake 😀 😀mimi nikitoka huko wewe pia nakupeleka! Nasikitika kukwambia kuwa utarudi umefariki!![emoji119]
Hahaaaaa kabisa na sauti inarembuaalafu hata ukiwa mwanaume, mbele ya mafua lazima uwe mrembo!!
no no no no am just kidding. Me natania tu mkuu najua u are safe. Mafua yanakera na yanaweza kukuaibisha mbele za watu. Ukiwa nayo huez kua comfortable hasa upate yale ambyo pua mda wote inatoa majiMaskini,una mawazo mabaya mkuu
[emoji23]nimemruhusu mkuu!Nimemtuliza mtoto hapa anapata dozi nzito ya mafua, akishamaliza kupata dozi atarejea kwenye uzi wake 😀 😀
Atapata nafuu muda si mrefu, tumemuachia mtoto awe bize kuwachatisha huku, huku sisi tukiendeleza ya kwetu 😀 😀[emoji23]nimemruhusu mkuu!
Vipi anaendeleaje[emoji23]
[emoji38][emoji38] tena yakiwa na umri wa siku mbili ndo unakuwa beautiful and innocent!Hahaaaaa kabisa na sauti inarembua
Eheeeeee unalala uku umebinuka tena 🏃Nawaza Leo nitalala nimebinuka aisee🙆