Mafua yasiyoisha kwa watoto wachanga

Mafua yasiyoisha kwa watoto wachanga

Sagatinho

New Member
Joined
Jul 26, 2022
Posts
4
Reaction score
2
Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
 
Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
Jaribu kutumia dawa inaitwa saline...utakuwa unamwekea mara kwa mara...pia angalia mazingira anapolala yawezekana vumbi...feni...pafyum...au hewa chafu inqchangia pia
 
Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
Pole sana. Kama mdau alivyobainisha kuna allergy mtoto anasumbuka nayo. Hakikisha chumba anacholala hakuna nguo zenye unyevu, pia anayekaa naye au mama mwenyewe asitumie mafuta yenye manukato au perfume, pia inawezekana akawa alizaliwa na hiyo hali hasa mtoto akimeza yale maji ya kuzaliwa nayo hiyo inakuwa more complicated ambayo inaweza tibiwa pia kwa dawa zetu za asili.
 
Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
Usitumie pafume wala sabuni za marash ndio humeletea mafua mtoto
 
Back
Top Bottom