Mafundi acheni kulogana

Mafundi acheni kulogana

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
5,962
Reaction score
17,648
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

Screenshot_20241202-215423~2.jpg
 
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

wanasiasa waache ramli, kuchukuana misukule na kutoana kafara huku wakisingizia wengine, hiyo ni nonsense ya kiwango cha juu sana 🐒
 
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

Hivi inakuwaje karne hii mtu anaamini kuna kurogana?

Kuna vitu huwa ninashangaa, nyie mnaishi karne gani?
 
Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni.
Ni kweli, ukishangaa treni kupita kwenye reli, utayaona ya meli kuelea kwny maji.

Huwa ninashindwa kuelewa, inakuwaje karne hii, ya teknolojia ya habari, ambayo mtu unaweza kupata kila aina ya utafiti uliofanyika popote pale duniani, unabaki kuamini vitu vya kishamba kama vile uchawi!
 
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

Sema mafundi Maiko ndiyo michongo yao hiyo
 
Hakuna anayekuroga,..unataja bei za maandazi kwenye mikazi migumu, utatoboa lini?.
 
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

ivi kwl uchawi upogo?
 
Back
Top Bottom