Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.