Mafundi acheni kulogana

Mafundi acheni kulogana

The world is evil, ukizubaa wanakuchapa
 
Hayo ni maonezi aisee
Mwenzako kakukosea nini
Si heri hata ungeloga mtoa tenda
 
Hayo ni maonezi aisee
Mwenzako kakukosea nini
Si heri hata ungeloga mtoa tenda
jamaa ile kazi alipiga lakini baada ya kumaliza na kupokea kibunda akawehuka mazima...
 
Siku nikisikia Mo Dewji na Bakhresa wamerongwa na wafanya kazi wao kwa mshahara mdogo na wakawa machizi ndio siku nitaamini uchawi upo.
 
"Fundi hataki kusema ukweli kuwa analipwa mshahara mkubwa Serikalini"

Au tuanze kwenye hizo kazi za ufundi atahitaji watu wa aina/tabia gani kufanya nae kazi sana sana!?

👑 Upole au Ukali

👑 Ukarimu au Ukatili

👑 Muoga au Jasiri

👑Wanaocheka au Wanaonuna

👑 Wenye Ndugu au Wasio na Ndugu

👑Wenye Fedha au Masikini

👑WafanyaBiashara au Wafanyakazi

👑 Uvivu au Uchapakazi

👑 Kufuata utaratibu uliopo au Kufuata utaratibu utakaokuja

👑Wafugaji au Wakulima

👑Wanaopenda Dini au Wapagani

👑Wanaopenda Starehe au Wasiopenda Starehe

👑Wabunifu au Wasio wabunifu

👑Wasomi au wasiosoma

Hivyo yaani

Yesu ulipigwa sijui walilidhika na ukweli uliowapa

images (3).jpeg
 
"Fundi hataki kusema ukweli kuwa analipwa mshahara mkubwa Serikalini na Malupulupu manono kila saa na siku nzima" - Muda wote ni Kazi ya ufundi tu

Au tuanze kwenye hizo kazi za ufundi atahitaji watu wa aina/tabia gani kufanya nae kazi sana sana!?

👑 Upole au Ukali

👑 Ukarimu au Ukatili

👑 Muoga au Jasiri

👑Wanaocheka au Wanaonuna

👑 Wenye Ndugu au Wasio na Ndugu

👑Wenye Fedha au Masikini

👑WafanyaBiashara au Wafanyakazi

👑 Uvivu au Uchapakazi

👑 Kufuata utaratibu uliopo au Kufuata utaratibu utakaokuja

👑Wafugaji au Wakulima

👑Wanaopenda Dini au Wapagani

👑Wanaopenda Starehe au Wasiopenda Starehe

👑Wabunifu au Wasio wabunifu

👑Wasomi au wasiosoma

Hivyo yaani

Yesu ulipigwa sijui walilidhika na ukweli uliowapa
images (3).jpeg
 
Mafundi ujenzi ndio wana ushenzi huo, wale kutukanana na kupigana ni kawaida kwao, ndio maana ufundi wao huwa hakuna wa kuushangaa licha ya kuwa wanajenga nyumba na watu wanaishi humo ila mafundi ujenzi ndio wanaongoza kwa kuchukiana
 
Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

Huyo aliyerogwa hakujua kwamba kuna Yesu?. Au alidhani Yesu alikuja duniani kuzurura?.
 
Mafundi ujenzi ndio wana ushenzi huo, wale kutukanana na kupigana ni kawaida kwao, ndio maana ufundi wao huwa hakuna wa kuushangaa licha ya kuwa wanajenga nyumba na watu wanaishi humo ila mafundi ujenzi ndio wanaongoza kwa kuchukiana
Exactly kabisa wanaujinga sana
 
Back
Top Bottom