Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa hii kwanza nch ya kufikirikauko bara gani?
So sadjamaa ile kazi alipiga lakini baada ya kumaliza na kupokea kibunda akawehuka mazima...
Mkuu kaa kimya tu.Hivi inakuwaje karne hii mtu anaamini kuna kurogana?
Kuna vitu huwa ninashangaa, nyie mnaishi karne gani?
Huyo aliyerogwa hakujua kwamba kuna Yesu?. Au alidhani Yesu alikuja duniani kuzurura?.Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Exactly kabisa wanaujinga sanaMafundi ujenzi ndio wana ushenzi huo, wale kutukanana na kupigana ni kawaida kwao, ndio maana ufundi wao huwa hakuna wa kuushangaa licha ya kuwa wanajenga nyumba na watu wanaishi humo ila mafundi ujenzi ndio wanaongoza kwa kuchukiana