Mafundi acheni kulogana

Mafundi acheni kulogana

Niaje wakuu,

Just imagine unamloga fundi

Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.

At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.

It's painful.

Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.

Na Mafundi wengi wanaofanya hivyo ni wale ambao ukiwapa kazi, hawaimalizi, watachukua pesa ikifika katikati anakimbia.

Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao ukiwapa kazi wataifanya kama wamefiwa, pole pole.

Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao atafanya kazi huku ananung'unika mwanzo Mwisho.

Na mengine mengi.... Hawachelewi kuwaloga wenzao Mafundi aina Hiyo.
 
Wenye ulozi wao sidhani kama wataacha huo ulozi kwa sababu wanaona unawasaidia kudhuru(kuua) bila kuacha alama.

Asante Yesu kwa ukombozi na ulinzi wako. Ndani yako usalama 100%🙏
Asante Yesu kwa ukombozi na ulinzi wako. Ndani yako usalama 100%🙏
Thanks 🤝
 
Na Mafundi wengi wanaofanya hivyo ni wale ambao ukiwapa kazi, hawaimalizi, watachukua pesa ikifika katikati anakimbia.

Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao ukiwapa kazi wataifanya kama wamefiwa, pole pole.

Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao atafanya kazi huku ananung'unika mwanzo Mwisho.

Na mengine mengi.... Hawachelewi kuwaloga wenzao Mafundi aina Hiyo.
Weshenzi sana
 
Back
Top Bottom