wanasiasa waache ramli, kuchukuana misukule na kutoana kafara huku wakisingizia wengine, hiyo ni nonsense ya kiwango cha juu sana 🐒Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Hivi kuna wachawi zaidi ya wanasiasa?wanasiasa waache ramli, kuchukuana misukule na kutoana kafara huku wakisingizia wengine, hiyo ni nonsense ya kiwango cha juu sana 🐒
Hivi inakuwaje karne hii mtu anaamini kuna kurogana?Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni.Hivi inakuwaje karne hii mtu anaamini kuna kurogana?
Kuna vitu huwa ninashangaa, nyie mnaishi karne gani?
Ni kweli, ukishangaa treni kupita kwenye reli, utayaona ya meli kuelea kwny maji.Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni.
Nini hatari?Hii kitu ni hatari
Sema mafundi Maiko ndiyo michongo yao hiyoNiaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Dunia ni ya upebari hii,je unaweza ishi kijamaaa? Au unaongea tuMda mwingine wanaoshusha bei wanaharibia watu madili
ivi kwl uchawi upogo?Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
mjinga wewe unaeamini uchawi,...acha kuongea ujinga