StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Wenye ulozi wao sidhani kama wataacha huo ulozi kwa sababu wanaona unawasaidia kudhuru(kuua) bila kuacha alama.acheni ulozi
Na Mafundi wengi wanaofanya hivyo ni wale ambao ukiwapa kazi, hawaimalizi, watachukua pesa ikifika katikati anakimbia.Niaje wakuu,
Just imagine unamloga fundi
Mwenzio kisa kafanya kazi ambayo uliitiwa ukataja bei kubwa yeye kataja bei ndogo kapiga kazi kwa wivu na roho mbaya yako unamfanyia umafia.
At the end of the time unamloga unamuharibia maisha yake kwa ujumla unaathiri mfumo mzima wa maisha ya wanao mtegemea either familia ,wazazi wake na ndugu zake.
It's painful.
Acheni ulozi riziki ni mafungu saba.
Asante Yesu kwa ukombozi na ulinzi wako. Ndani yako usalama 100%πWenye ulozi wao sidhani kama wataacha huo ulozi kwa sababu wanaona unawasaidia kudhuru(kuua) bila kuacha alama.
Asante Yesu kwa ukombozi na ulinzi wako. Ndani yako usalama 100%π
Weshenzi sanaNa Mafundi wengi wanaofanya hivyo ni wale ambao ukiwapa kazi, hawaimalizi, watachukua pesa ikifika katikati anakimbia.
Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao ukiwapa kazi wataifanya kama wamefiwa, pole pole.
Mafundi wengi wa aina Hiyo ni wale ambao atafanya kazi huku ananung'unika mwanzo Mwisho.
Na mengine mengi.... Hawachelewi kuwaloga wenzao Mafundi aina Hiyo.
Wanasema Mungu hayupo huyo kristo watamwamini kweli?Ishi kwa kumtegemea KRISTO hutashindwa na chochote mtumish
Peleka ujumbe, wee si ndiyo umeleta mada hapa.Sio mimi
Maisha haya changamoto sana....sio mimi mkuu
ni fundi flan hivi amefanyiwa unyama sana.
Nikae kimya kiaje sasa? Wewe ndio umeshashuhudia sana wachawi au?Mkuu kaa kimya tu.
Mara nyingi mchawi huushangaa uchawi, na kujifanya haupo!Nikae kimya kiaje sasa? Wewe ndio umeshashuhudia sana wachawi au?
Hii ishu huwa inashangaza sana, inawezekana wewe ni msomi, na bado unaamini kuna uchawi.Mara nyingi mchawi huushangaa uchawi, na kujifanya haupo!