Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Naona mafundi bomba huku mtaani wengi bado wanapenda kujenga hizi chemba za kawaida (inspection chambers) katika mfumo wa maji taka wa nyumba (drainage system)
Kama upo kwenye ujenzi, utajenga au ulishajenga tuna kitu cha kujifunza katika mfumo huu wa maji taka nimeulewa sana
Kitaalamu mfumo huu unaitwa rodding eye drainage system. Faida yake;
(1) Mfumo huu unampa mwenye nyumba eneo kubwa la kufanya shughuli zake
(2) Hauingizi wala kufuga mende
(3) Unaongeza zaidi mvuto na mwonekano wa nyumba
(4) Unadumu kwa muda mrefu
(5) Haurudishi harufu
HAPA KABLA YA KUWEKA PAVING BLOCKS
BAADA YA KUWEKA PAVING BLOCKS 😍
👆Piga picha hapo ingekuwa zimewekwa chemba za kujengea zingekuwa ngapi na hako kanjia usingeweza kupita kwa uhuru au kupitisha vitu👇
Kama upo kwenye ujenzi, utajenga au ulishajenga tuna kitu cha kujifunza katika mfumo huu wa maji taka nimeulewa sana
Kitaalamu mfumo huu unaitwa rodding eye drainage system. Faida yake;
(1) Mfumo huu unampa mwenye nyumba eneo kubwa la kufanya shughuli zake
(2) Hauingizi wala kufuga mende
(3) Unaongeza zaidi mvuto na mwonekano wa nyumba
(4) Unadumu kwa muda mrefu
(5) Haurudishi harufu
HAPA KABLA YA KUWEKA PAVING BLOCKS
BAADA YA KUWEKA PAVING BLOCKS 😍
👆Piga picha hapo ingekuwa zimewekwa chemba za kujengea zingekuwa ngapi na hako kanjia usingeweza kupita kwa uhuru au kupitisha vitu👇