stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Maelezo yanaweza yakakufunga kwa kiasi chake in short Mimi nilisimuliwa na waliokuwepo eneo la tukioUtakuaje Shahidi na hujulukani ? Kwani humu unatumia details zako halisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo yanaweza yakakufunga kwa kiasi chake in short Mimi nilisimuliwa na waliokuwepo eneo la tukioUtakuaje Shahidi na hujulukani ? Kwani humu unatumia details zako halisi?
Ukute mzee wako ndo alimwambia yule fundi akufanyie hv ili urudi shule;!life hili,,kuna kipindi nilikataa shule form 3 ikabid nimwambie mzee sitaki kusoma nataka kuwa fundi umeme,kuna fundi ni rafiki wa mzee akanipeleka nikakomae shule si nimeacha.
tulikuwa tunafanya kazi bila kula tokea asubuhi hadi jioni na sehemu ata iwe mbali vipi mtatembea kwa miguu ila yeye fundi mkuu anachukua usafiri nilikaa miezi 2 nikaacha nikaomba nirudi tu kusoma tu