life hili,,kuna kipindi nilikataa shule form 3 ikabid nimwambie mzee sitaki kusoma nataka kuwa fundi umeme,kuna fundi ni rafiki wa mzee akanipeleka nikakomae shule si nimeacha.
tulikuwa tunafanya kazi bila kula tokea asubuhi hadi jioni na sehemu ata iwe mbali vipi mtatembea kwa miguu ila yeye fundi mkuu anachukua usafiri nilikaa miezi 2 nikaacha nikaomba nirudi tu kusoma tu