Mafundi naombeni mnishike mkono mimi saidia fundi

Mafundi naombeni mnishike mkono mimi saidia fundi

Nasibuhamisi

Member
Joined
Aug 26, 2023
Posts
14
Reaction score
19
Habari za muda huu wanajamii nimerudi tena,

Jamani kama kuna fundi yeyote atakae saidia fundi nipo tayari kufanya ili namimi niweze kupata ujuzi.
 
Una umri gani, saidia fundi ili upate ujuzi kuna umri wake ukivuka hapo una familia ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom