Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
- Thread starter
- #21
bora ungekaa kwenye mashine mwenyewe, mimi nmepatwa na hisia za ningejua nisingepeleka nguo zangu kwa fundi ningevaa hivyo hivyoKuna fundi alishawahi nikera sina hamu naye.
Kupunguza nguo kwenyewe alikuwa hajui mjinga yule hata mimi namzidi.