Mafundi ujenzi kutoka Asia wanyang'anywa passport na kulazimshwa kuingia jeshini Urusi

Mafundi ujenzi kutoka Asia wanyang'anywa passport na kulazimshwa kuingia jeshini Urusi

Ukisikiliza habari za kutoka kwa jamaa huyu, ndio utajua aidha ni troll anayelipwa kueneza propaganda za vujiweni au kichwa chake kiko wired ndio sivyo by his MAKER - hajui vizuri historiria yavmambo mengi zaidi ya ku-copy copy kutoka kwenye past archives za propaganda za west na hajui lipi la kuandika na lipi ahache - narudia kuwatadharisha sana kwamba chunga sana jamaa huyu ni muongo namzushi balaa.

Chukulia mfano huu wa kusema eti Urusi imehishiwa na waba jeshi, kauli hiyo inadhilisha wazi kwamba halijui vizuri kwa undani taifa la Urusi, hana habari kwamba Warusi zaidi ya million 43 kupoteza zaidi ya wanajeshi na volunteers million 43 during WW2 kukomboa Dunia dhidhi ya mafashiti wa KINAZI wa Kijerumani ambao umeanza kuibuka tena huko Ukraine kwa kuwa supported na the west mchana kweupe, sasa swali kwako ni kwa akili zako za ajabu unaona ajabu Urusi kutitolea kupoteza 1.5 million soldiers na volunteers katika vita hii linapokuja suala la kulinda taifa lao/Urusi - wapo tayari kufanya lolote hata kama ni kugeuza USA land mass na EU into thermonuclear waste land - Russian walisha jipanga miska mingi jinsi ya kukinga raia wao dhidi ya madhara ya nuclear - US hiko busy kupindua Serikali za mataifa mengine na kuanzisha vita ili wauze silaha hawana habari na suala la kulinda raia wao dhidi ya silaha za kisasa, wapo wapo tu kelele nyingii na vitisho, ukiwambia tuonyeshe hata hypersonic missile moja hata ya kusingiziwa - hawana. Wao na swahiba wao mkuu MK-254 hawana tofauti wanaishi kwenye ..Alince itn a wonderland!!!
Huo ulikua mwaka gani, maana leo Warusi wameahituka vita having faida kwa raia ndo maana wengi wanapinga kujiunga na Jeshi.Na ndio maana anakusanya wahamiaji ambao anatumia force kuwapata.Hata niliona Aljazeera wanalitangaza kua Cuba wanamlalamikia Putin kwa kuchukua vijana wa Cuba kwenye kupigana front line.
 
Nazidi kujazia View attachment 2737713

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwani UK Defense Ministry inahusika vipi na Masuala ya Ukkraine - basi waeleze Dunia kwamba hivi sasa Ukraine ni koloni la Uingereza, maana ukichunguza sana masuala ya vita hii taifa linalo jitia kimbelebele kuwa msemaji mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Ukraine ni Wizara ya Ulinzi ya Uingereza na habari nyingi ni za kubuni tu - mfano:vifaru vya challenger vumeishia wapi majigambo tu na propaganda chungu mzima.
 
Hi
Huo ulikua mwaka gani, maana leo Warusi wameahituka vita having faida kwa raia ndo maana wengi wanapinga kujiunga na Jeshi.Na ndio maana anakusanya wahamiaji ambao anatumia force kuwapata.Hata niliona Aljazeera wanalitangaza kua Cuba wanamlalamikia Putin kwa kuchukua vijana wa Cuba kwenye kupigana front line

Tunarudi kule kule - wewe una ushahidi gani wa kuthibitisha uongo huu???

Asilimia karibu 98% ya raia wa Urusi wana m-support Putin, sisi watu baki ni akina nani wa kudhani Urusi ikihamua kupigana vita yak weli na sio hii ya utani, nani anaweza kumuingia Putin kichwa kichwa aka survive.

Juzi juzi hapa tuliona alivyo wachachafya some NATO troops na Ukraine kwenye hyped "Counter Offensive" 2,400 lost their lives within 24 hours and multitude of war hardware were lost including hyped Challenger and Leopard Main Battle tanks, for some strange reasonds US highly praised "Abram" main Battle tank were hidden ie they never turned up in Ukraine war front scared of being blown into smithereens by Russian no nosense Lacent Guided anti tank Drones (missiles).
 
Back
Top Bottom