Mafundi ujenzi kutoka Asia wanyang'anywa passport na kulazimshwa kuingia jeshini Urusi

Huo ulikua mwaka gani, maana leo Warusi wameahituka vita having faida kwa raia ndo maana wengi wanapinga kujiunga na Jeshi.Na ndio maana anakusanya wahamiaji ambao anatumia force kuwapata.Hata niliona Aljazeera wanalitangaza kua Cuba wanamlalamikia Putin kwa kuchukua vijana wa Cuba kwenye kupigana front line.
 
Nazidi kujazia View attachment 2737713

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwani UK Defense Ministry inahusika vipi na Masuala ya Ukkraine - basi waeleze Dunia kwamba hivi sasa Ukraine ni koloni la Uingereza, maana ukichunguza sana masuala ya vita hii taifa linalo jitia kimbelebele kuwa msemaji mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Ukraine ni Wizara ya Ulinzi ya Uingereza na habari nyingi ni za kubuni tu - mfano:vifaru vya challenger vumeishia wapi majigambo tu na propaganda chungu mzima.
 
Hi

Tunarudi kule kule - wewe una ushahidi gani wa kuthibitisha uongo huu???

Asilimia karibu 98% ya raia wa Urusi wana m-support Putin, sisi watu baki ni akina nani wa kudhani Urusi ikihamua kupigana vita yak weli na sio hii ya utani, nani anaweza kumuingia Putin kichwa kichwa aka survive.

Juzi juzi hapa tuliona alivyo wachachafya some NATO troops na Ukraine kwenye hyped "Counter Offensive" 2,400 lost their lives within 24 hours and multitude of war hardware were lost including hyped Challenger and Leopard Main Battle tanks, for some strange reasonds US highly praised "Abram" main Battle tank were hidden ie they never turned up in Ukraine war front scared of being blown into smithereens by Russian no nosense Lacent Guided anti tank Drones (missiles).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…