frabel
Member
- Mar 13, 2021
- 96
- 60
Habari wadau wa JF
Poleni na majukumu
Kutokana na uhitaji mkubwa wa mafindi na ombwe la uelewa na uzoefu hafifu wa mafundi ujenzi wengi kusindwa kukidhi soko la ujenzi na makazi, sasa kupitia uzi huu utapa huduma zote za ujenzi kuanzia kuchora ramani hadi kukabidhiwa ufunguo wa nyumba yako
-HOUSING ONE STOP CENTER, au KITUO CHA HUDUMA ZOTE ZA UJENZI.
Izingatiwe kuwa, tuna mafundi weledi wote kutokana na aina ya uhitaji wako katika tasnia ya ujenzi na makazi.
Huduma zetu zimegawanywa katiaka idara zifuatazo.
1- UCHORAJI RAMANI
2- UJENZI
3- UPAUAJI
4- UMEME
5- BOMBA / PLUMBING
6- USELEMARA
7- UCHOMEREAJI NA MADIRISHA YA ALMINIUN
Kazi zingine chini ya idara hizo ni:
8- Kupiga plasta
9- Kutandika tiles za mbao na za
kawaida kwa kutumia gundi
au saruji
10- Kufunga gypsum board
11- Kufunga bomba za maji
taka na Safi
12- Urembo wa ndani wa paa
n.k
SIFA ZETU MHIMU NI:
13- Uaminifu wa vifaa kazi
14- Uaminifu wa makubaliano
15- Kuharakisha kazi na kuokoa
gharama za usimamizi
kwa wamiliki.
16- Kushauriana kwa kila hatua
17- Kufanya kazi Bara na Visiwani
18- Kuwajibika bila usumbufu
Kauli mbiu yetu ni:
TUPE KAZI TUKUACHIE FURAHA
Kwa mawasiliano na ofisi ni
0753927572 - wasap
0713665510 - kupiga
0629361896 - Kupiga
Karibuni wote.
Poleni na majukumu
Kutokana na uhitaji mkubwa wa mafindi na ombwe la uelewa na uzoefu hafifu wa mafundi ujenzi wengi kusindwa kukidhi soko la ujenzi na makazi, sasa kupitia uzi huu utapa huduma zote za ujenzi kuanzia kuchora ramani hadi kukabidhiwa ufunguo wa nyumba yako
-HOUSING ONE STOP CENTER, au KITUO CHA HUDUMA ZOTE ZA UJENZI.
Izingatiwe kuwa, tuna mafundi weledi wote kutokana na aina ya uhitaji wako katika tasnia ya ujenzi na makazi.
Huduma zetu zimegawanywa katiaka idara zifuatazo.
1- UCHORAJI RAMANI
2- UJENZI
3- UPAUAJI
4- UMEME
5- BOMBA / PLUMBING
6- USELEMARA
7- UCHOMEREAJI NA MADIRISHA YA ALMINIUN
Kazi zingine chini ya idara hizo ni:
8- Kupiga plasta
9- Kutandika tiles za mbao na za
kawaida kwa kutumia gundi
au saruji
10- Kufunga gypsum board
11- Kufunga bomba za maji
taka na Safi
12- Urembo wa ndani wa paa
n.k
SIFA ZETU MHIMU NI:
13- Uaminifu wa vifaa kazi
14- Uaminifu wa makubaliano
15- Kuharakisha kazi na kuokoa
gharama za usimamizi
kwa wamiliki.
16- Kushauriana kwa kila hatua
17- Kufanya kazi Bara na Visiwani
18- Kuwajibika bila usumbufu
Kauli mbiu yetu ni:
TUPE KAZI TUKUACHIE FURAHA
Kwa mawasiliano na ofisi ni
0753927572 - wasap
0713665510 - kupiga
0629361896 - Kupiga
Karibuni wote.