Mafundi wa Namna hii Wanapatikana Wapi?

Mafundi wa Namna hii Wanapatikana Wapi?

Kuna watu wamezaliwa na nguvu za ajabu. Kuna fundi mmoja hapa mkoani wapo watatu wanaweza kujenga nyumba kuanzia msingi mpaka inamalizika bila kuwa na idadi ya mafundi wengi.
vijana walikuwa wanakimbia maana wakianza asubuhi stop ni msosi wa mchana na jioni tu.
 
Kuna watu wamezaliwa na nguvu za ajabu. Kuna fundi mmoja hapa mkoani wapo watatu wanaweza kujenga nyumba kuanzia msingi mpaka inamalizika bila kuwa na idadi ya mafundi wengi.
vijana walikuwa wanakimbia maana wakianza asubuhi stop ni msosi wa mchana na jioni tu.
Duu! Hiyo kiboko. Maana siku hizi ujenzi jamaa wanakuja na timu ya maana.
 
Kuna mwamba alikuwa mwizi wa vifaa vya magari pale TPA Dar miaka ya nyuma alikuwa na nguvu balaa. Alikuwa anabeba mfuko wa 50kg kwa mkono mmoja, kulia na kushoto anabeba 100kg. Alipigwa ban asionekane na watu wa security maana alikuwa anaogopeka aliambiwa akionekana ndani ya Bandari atapigwa chuma muda wowote.


Pale Ilonga Msalabani-Kilosa, kulikuwa na mwamba anaendesha trekta ikizingua anasukuma mwenyewe na ni kipande cha mtu wakati wa service anabeba vyuma vizito peke yake
 
Kuna mwamba alikuwa mwizi wa vifaa vya magari pale TPA Dar miaka ya nyuma alikuwa na nguvu balaa. Alikuwa anabeba mfuko wa 50kg kwa mkono mmoja, kulia na kushoto anabeba 100kg. Alipigwa ban asionekane na watu wa security maana alikuwa anaogopeka aliambiwa akionekana ndani ya Bandari atapigwa chuma muda wowote.


Pale Ilonga Msalabani-Kilosa, kulikuwa na mwamba anaendesha trekta ikizingua anasukuma mwenyewe na ni kipande cha mtu wakati wa service anabeba vyuma vizito peke yake
Sasa sijui ni mazoezi, au ndio special abilities hizo?
 
Korogwe kuna vijana wa kisamba wanabeba gunia za mizigo mizito huwezi kuamini.
Na wengine niliwakuta Kigoma vijana wa kiha wanabeba gunia za mizigo ambayo hata toyo inakalishwa.
Ila all in all wanatumia ushirikina wewe unaona ni yeye aliyebeba kumbe ni pepo lililo ndani yake.
 
Back
Top Bottom