The silenter
Member
- May 19, 2018
- 18
- 10
Wakuu habari za majukumu ya kila siku. Nimepata shida sana napopeleka gari iwe ni service au Normal maintanance ya kubadili spea. Nashangaa nikienda garage badala ya gari kupona nakuta mafundi kwa uzembe wanazalisha tatizo jingine hapo hapo.
Na wengine wamejaliwa maneno sana yaaani utamuamini tu. Anakupa sababu kiabao kama vile anajua tatizo kumbe wapiiiiiiii.........!
Yaani sijui nifanyeje kupata permanent solution ya hii shida. Nipeni mawazo jamani......!
Na wengine wamejaliwa maneno sana yaaani utamuamini tu. Anakupa sababu kiabao kama vile anajua tatizo kumbe wapiiiiiiii.........!
Yaani sijui nifanyeje kupata permanent solution ya hii shida. Nipeni mawazo jamani......!