Mafundi wetu wanakwama wapi?

Kwani humu hakuna maengineers? Au nao hawajui hii. Nyie mliosomea civil eng. Pale mlimani mkuje huku
 
Asee...mafundi wa bongo full kukariri..
 
Habari,
Ujenzi wa ghorofa bila nguzo inawezekana lakini tu unashauriwa kutumia ukuta wenye upana wa inch 9 au 230mm kwa floor ya chini yaan kuta za chini zijengwe kwa kulaza tofali. Kwenye msingi, nguzo ziishie level ya msingi ilikupa msingi stability nzuri.

Lakini pia aina hii ya ujenzi sio imara. Endapo litatokea tetemeko tegemea nyufa za kutosha au jengo kufail kabisa.

Ghorofa bila nguzo inawezekana lakini sio Salama. [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…