Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni kweli kabisaMkuu nahisi wewe kitaaluma ni teacher.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisaMkuu nahisi wewe kitaaluma ni teacher.
Kwa afrika hauna faida.Hii ilimu kwanini isiongezwe katika mtala wa sikondari zetu, watoto wakitoka hapo wawe wamepata kajichanzo ka ajira?
Hata tza KILA mji vipo vingi tu.Nilijiulizavsiku moja hivi brother Mshana Jr ana subiri Nini kuanzisha chuo Cha uganga wa asili? Mbona ULAYA vipo
Umejuaje jambo hili?Kwa afrika hauna faida.
Jambo vyuo vya uchawi vipo na degree unafuzu
Unajua kitu pale penye nia ya kutaka kujuaUm
Umejuaje jambo hili?
Sasa kwanini kwetu KEMET na Alkebulan kwa ujumla wake UCHAWI unasema hauna faida?Unajua kitu pale penye nia ya kutaka kujua
Wenzetu uutumia kwa maendeleo sisi kwa uhalibifuSasa kwanini kwetu KEMET na Alkebulan kwa ujumla wake UCHAWI unasema hauna faida?
Naomba niwe MatronNgoja tufungue chuo chetu
Kumbe kuwa Harry Potter ni kaziHata tza KILA mji vipo vingi tu.
Ukiwa na interest na kitu utakijua kilipo.
Temeke kipo pia.
Unasoma uchawi miaka 5 ukitaka uganga miaka 2.
Ili uwe mganga ni lazima ufuzu miaka 5 ya uchawi darasani, ndipo unapata sifa za kusoma uganga miaka 2
TumerogwaWenzetu uutumia kwa maendeleo sisi kwa uhalibifu
Umepita bila kupingwaNaomba niwe Matron