Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Mradi huu ambao uko katika mikoa minane hapa nchini umeanza kwa kutoa mafunzo mbalimbali kwa wadau anuwai kwa mikoa hiyo; lakini mradi huu unaonekana kama unafanya maigizo vile.
Mfano walimu wanaopata mafunzo vijijini wanalipwa Tsh 17,500/- kwa siku. Malipo hayo yanajumuisha Nauli, Chai, Chakula cha mchana na jioni na Malazi. Ni kwa vipi kiwango hicho kinaweza kukidhi mahitaji kwa mwalimu anayesafiri kwa zaidi ya km 10 kama si majanga kwa walimu,?
Endapo mfadhili wa EQUIP yuko serious na uboreshaji wa elimu kweli ajaribu kuliangalia hili kwa walimu wanaopewa mafunzo vijijini.! Inakatisha tamaa mwalimu kuanza kutumia gharama zake kwa shughuli ambayo hakuipangia bajeti.
Mfano walimu wanaopata mafunzo vijijini wanalipwa Tsh 17,500/- kwa siku. Malipo hayo yanajumuisha Nauli, Chai, Chakula cha mchana na jioni na Malazi. Ni kwa vipi kiwango hicho kinaweza kukidhi mahitaji kwa mwalimu anayesafiri kwa zaidi ya km 10 kama si majanga kwa walimu,?
Endapo mfadhili wa EQUIP yuko serious na uboreshaji wa elimu kweli ajaribu kuliangalia hili kwa walimu wanaopewa mafunzo vijijini.! Inakatisha tamaa mwalimu kuanza kutumia gharama zake kwa shughuli ambayo hakuipangia bajeti.