Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
Habari za muda wakuu.
Naomba kwa yeyote anayeweza saidia ktk hili asaidie.
Baada ya majina ya vijana watakaoenda jeshini kutoka,watu waliyapokea kwa namna tofauti.
Wapo waliofurahi,na wapo ambao waliapa kutokwenda.
Mimi kijana wangu ambaye yuko chuo Cha ualimu( special diploma) alifurahi Sana na kutamani kwenda.
Ila baada ya siku kadhaa leo wametaarifiwa kuwa hawatakwenda jeshini Ila wataendelea na masomo mwezi wa Saba.
Kijana anaingia mwaka wa tatu hapo mwezi wa Saba na ndio mwaka wake wa mwisho.
Jee Kuna uwezekano akishamaliza chuo kwenda jeshini km wenzake wa kidato Cha sita wanavyokwenda.?
Na jee Ni tatatibu zipi anatakuwa azifate ili mwakani akimaliza chuo aende jeshini?
Naomba kwa yeyote anayeweza saidia ktk hili asaidie.
Baada ya majina ya vijana watakaoenda jeshini kutoka,watu waliyapokea kwa namna tofauti.
Wapo waliofurahi,na wapo ambao waliapa kutokwenda.
Mimi kijana wangu ambaye yuko chuo Cha ualimu( special diploma) alifurahi Sana na kutamani kwenda.
Ila baada ya siku kadhaa leo wametaarifiwa kuwa hawatakwenda jeshini Ila wataendelea na masomo mwezi wa Saba.
Kijana anaingia mwaka wa tatu hapo mwezi wa Saba na ndio mwaka wake wa mwisho.
Jee Kuna uwezekano akishamaliza chuo kwenda jeshini km wenzake wa kidato Cha sita wanavyokwenda.?
Na jee Ni tatatibu zipi anatakuwa azifate ili mwakani akimaliza chuo aende jeshini?