AUnataka kiasi gani
Mkuu kama naitaji green house peke yake inakuajeKWA NINI UWE MASKINI?
JE, UNGEPENDA KUVUNA NYANYA NYINGI KILA WIKI NA KUJIPATA KIPATO KIKUBWA KUPITIA KILIMO CHA GREEN HOUSE?
View attachment 165705
Team ya "AMKA NA BADILIKA" ya CONSNET GROUP ikishirikiana na wataalamu wa GREEN HOUSE katika maeneo ya joto AFFORDABLE GREENHOUSE kutoka Kenya wanapenda kukujulisha kuwa unaweza kujengewa GREEN HOUSE ya ukubwa wa Mita 8 kwa Mita 15 na kupanda mazao upendayo ya bustani kama Nyanya; Pilipili Hoho; Vitunguu; Bilinganya; Vitunguu; Matango nk ambayo yanaweza kukupatia zaidi ya tani zaidi ya 20 kwa Mwaka na kukuingizia kipato kikubwa.
Kujengewa GREEN HOUSE moja ya 8M X 15 M (Kutumia mirunda na mbao za dawa) ni TZS 5.0 Millions Tu na unajengewa katika kipindi cha wiki 2 pamoja na kupandiwa mazao. Pesa hiyo inahusisha mbegu za kisasa, mbolea, madawa, kupima udongo na maji maabara, tank la lita 1000, drip irrigation system, na mafunzo na kujengewa.
Kwa sasa zipo "KITS" za kutosha za Green House. Kama utapenda kujengewa Green House na bajeti iko tayari, tafadhali wasiliana nasi kupitia namba: +255 755 285 023.
Mkuu, Hakuna Gh yenye udogo zaidi ya hiyo, au ukiweka ndogo ya hapo faida aitakuwa kubwa...
Je kama nahitaji material pekeake kama vike GH film na drip pipes?Mkuu kama naitaji green house peke yake inakuaje
Je. Joto la dar es salaam alitoathiri mazao?Mkuu kabla ya ujenzi inafanyika soil analysis na water analysis kupitia maabara ili kujua virutubisho vilivyopo na kama kuna infection yoyote.
Unaweza kufanya Green House Kiluvya. karibu sana.
tatizo la watanzania ni negative attitudes
umeongea point mkuuYaani nikishaona mtu katika biashara zetu za kawaida anaingiza mawazo ya kina Adam Smith, Mara sijui return of investment, accounting rate of return na mengine kama hayo, huyo hata umpe 1,000,000,000 afanye biashara kesho yake tu anafilisika. Na kawaida watu hao wengi unawakuta ana MBA au amesomea "masomo ya biashara", anadhani biashara ni vitabu, kibongobongo wanaotoboa katika biashara hata Adam Smith hamjui wala Hana mpango wa kumjua milele! Muuzlie S.H. Amon kama anamjua Adam Smith!
Fika wizara ya kilimo temeke watakupa ushauri mzuri sanawakuu naitaji msaada wenu naitaji kulima nyanya katka banda kitalu kampuni gani inayotengeneza mabanda yenye ubora, na wanaotoa ushauri jinsi ya kuhudumia hilo shamba. mwenye kujua anijuze tafadhali