Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Habari zenu.

Jamani kama kuna mkulima wa nyanya za green house au kuna anayejua mkulima wa nyanya izo naomba tuwasiliane kwa PM.
Nipo Dsm.

Asanteni
 
Mkuu kama naitaji green house peke yake inakuaje
Mkuu, Hakuna Gh yenye udogo zaidi ya hiyo, au ukiweka ndogo ya hapo faida aitakuwa kubwa...
 
Kwanini wataalam wengi wa green house vipimo vyao vya eneo ni hivyo hivyo? 15x8?
 
Mkuu kabla ya ujenzi inafanyika soil analysis na water analysis kupitia maabara ili kujua virutubisho vilivyopo na kama kuna infection yoyote.

Unaweza kufanya Green House Kiluvya. karibu sana.
Je. Joto la dar es salaam alitoathiri mazao?
 
Greenhouse kwenye joto kama rufiji itakuwa poa?
 
Hii kilimo cha nyanya inalipa sana asikwambie mtu. Nilianza kulima mwaka Jana ingawa inahitaji mtaji lakini ni kilimo nzuri sana. Usianze kulima nyanya km huna elimu nayo itakuaibisha pia pale unapokurupukia kulima kwa vile umeona jirani yako analima.
 
Green hse ni wewe mwenyewe!! kama una mbolea ya samadi, maji na madawa ya kuulia wadudu why not make your own green hse?
 
Hivi na hili joto la pwani, inakuwa vp mle ndani!?? Au kunawekwa feni
 
umeongea point mkuu
 
Wakuu nahitaji msaada wenu.

Nahitaji kulima nyanya katika banda kitalu, kampuni gani inayotengeneza mabanda yenye ubora, na wanaotoa ushauri jinsi ya kuhudumia hilo shamba?

Mwenye kujua anijuze tafadhali.
 
wakuu naitaji msaada wenu naitaji kulima nyanya katka banda kitalu kampuni gani inayotengeneza mabanda yenye ubora, na wanaotoa ushauri jinsi ya kuhudumia hilo shamba. mwenye kujua anijuze tafadhali
Fika wizara ya kilimo temeke watakupa ushauri mzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…