Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Sana,nimeshamtafuta.greenhouse mara nyingi wanapandaga mazao ya muda mfupi kama nynya hoho n lkely nakushauri mtafute biashara2000 humu atakuelekeza vizuri au soma post za humu na za kwene biashara utaona post zake na namba zake
Hata mimi nimeshangaa...greenhouse upande kunde?
PM za nini, weka hapa hiyo shule jukwaa lifaidikeFanya kuni PM number yako mkuu nikupe shule murua
Niko Mwanza hali ya hewa naona ni yakawaida sio joto sana sio baridi,kuhusu ukubwa na vipimo vya hizi green house sijui kwa kweli labda niende na mtaalam anidadavulie zilivyo na size zake.Panda nyanya, hoho,tango au biringanya ama ngogwe. Pia greenhouse inategemea sana na mazingira uliyopo kama ni sehemu ya joto ina standard zake ili kuruhusu air exchange na kama ni sehemu za baridi pia ina standard zake ili kukeep internal heat.
Greenhouse inayofaa kwa maeneo ya joto inatakiwa iwe na kimo/gutter height atleast 2.5-3M na Urefu wa kati kutoka chini 5M. Side walls inatakiwa iwe netted. Mfano wa greenhouse ya ukubwa 8×15M inaweza kukupa mavuno ya nyanya hadi tani 15 -20 kwa mwaka. Pilipili hoho nyekundu na njano grow better in ghouse than in open field
Nimewahi kulima ila open field,hizo green house zishafungwa , zilifungwa na kampuni kutoka Kenya 2 years ago ni za kutumia tu sio kuanza kufunga tena.kama hujawai kuingia kwenye kilimo nipm namba yako tuchat whatsapp nikusaidie hatua kwa hatua otherwise wanaofunga grewnhouse wengi ni matapeli watakufungia below standard. au kama unaweza njoo wizara ya kilimo dsm
je unaweza kunitumia picha?Nimewahi kulima ila open field,hizo green house zishafungwa , zilifungwa na kampuni kutoka Kenya 2 years ago ni za kutumia tu sio kuanza kufunga tena.
Sure kesho naelekea huko nitapiga nikutumie.je unaweza kunitumia picha?
ok Mosha Nyuraaa/ shimbonyiAsante Sana,nimeshamtafuta.
Upo Mwanza sehemu gani mkuu tuonane? Nmekuja kikazi kidogo hukuBado najifunza Kilimo,ninazo green house kubwa 7 ambazo nimepewa niinvest baada ya kuonyesha interest kwenye Kilimo.Zote zina system ya drip irrigation, Maji ya kutosha na full equiped.Zipo Mwanza.
Je nilime nini, na Kama mwanafunzi na mgeni katika mambo ya kilimo hakitanigharimu Sana.Na nitapata soko kiurahisi,nataka nianze next month.
Ntashukuru kwa mawazo.