Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
- Thread starter
-
- #121
TANGAZO: Sasa unaweza pata mafunzo haya katika mfumo wa video ambayo inakufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia mkono na mashine. Badala ya kununua kitabu na kukisoma, sasa unaweza nunua DVD video ambayo imewekwa katika mfumo ambao unaweza tumiwa katika email yako nawe kuweka kwenye CD/DVD. Bei ni ile ile ya kitabu sh. 10,000. Video hii ina mafunzo mengi zaidi ya kitabu.
Hiyo itakuwa rahisi zaidi ya kusoma kwenye kitabu
Mafunzo haya ni mazuri sana
Nashukuru sana.
Habari.
Wiki iliyopita nilitangaza humu JF kuwa nauza moja ya mashine zangu za kutengeneza mkaa wa kisasa sababu ikiwa ni kuongeza mashine kubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji. Baada ya siku chache nikafanikiwa kuiuza. Nashukuruni kwa watu wote mlioniandikia msg. Karibu wote wameniandikia wakiniomba niwaelekeze jinsi mkaa huo unavyotengenezwa. Kuna wengine wao wameniomba waje watembelee mradi waone hiyo mashine nimewapa namba yangu. Na kuna wengine wameniomba niwaeleze jinsi ya kutengeneza mkaa huu bila kutumia mashine kwa kuwa hawawezi ku afford kununua mashine hizi.
Inawezekana kutengeneza mkaa huu nyumbani kwako kama una eneo la kutosha bila kuwa na mashine. Ila utahitaji pipa au mdoo ya bati. Naweza kutoa mafunzo kwa watu wanaotaka. Gharama yake ni sh. 45,000/=. Mafunzo haya ni kwa mkazi anayeishi Dar. Kutengeneza bila kutumia mashine utakuwa unatengeneza gunia 1 - 2 au zaidi kwa siku kutegemeana na spidi ya mikono yako. So kwa kuweka investment ya 45000/=, ndani ya siku 2 za uzalishaji utakuwa usharudisha investment yako (kama utakuwa unatengeneza gunia 2). Namba yangu ni 0758 308193.
Asanteni
Biashara2000 kwanza hongera sana maana pia hii idea inatunza mazingira kwa kiwango fulan.
Vp naweza kutuma hiyo 10,000 nipate kitabu au ni mechelewa?
Na je namna ya kutengeneza machine imeelezwa ndani ya kitabu?
Hv wakuu kwa mtu anayetumia machine kuzalisha huu mkaa anaweza kuzalisha gunia ngapi kwa siku? Na kwa sasa bei ya gunia ya hii kitu ni sh ngapi?
Biashara nahitaji kutuma hela ila iko kwenye tigo pesa na je majina yako kamili? Email yangu ni alfredmkohi@gmail.com
Watu wakiona unaweka email yako wazi kwenye JF wataanza kukutumia ma spam
OFA: Kawnza nashukuru kwa wale wote waliojifunza haya mafunzo ya mkaa kutoka katika DVD nilizowatumia. Kutokana na umuhimu huu nimeamua kutoa ofa ya DVD ya ziada kama ofa bure utakapo nunua DVD ya mkaa au greenhouse. Dvd hii ya ofa inafundisha hatua kwa hatua jinsi ya kulima kilimo cha kisasa cha maua. Na hii huhitaji hata kuwa na greenhouse. Na unaweza anza na kwa mtaji usiozidi laki moja na unapata faida kubwa baada ya miezi 3 tu.
Katika kilimo chako utapanda miche 150 kwa square metre sasa itategemea eneo lako lina ukubwa gani. Mche mmoja utauuza kwa sh. 6 hivyo kwa sq metre unatengeneza sh. 900. Mfano kama una shamba la ekari 1 utapata miche 735000 ambapo ukiiuza utapata sh. 4,410,000. Na hii ni baada ya siku 75 - 90 tokea umeipanda. Pia utajifunza technique ya upandaji itakayokuwezesha kuweza kuvuna mara 2 kwa wiki kwa mwaka mzima. Hivyo piga hesabu utapata sh. ngapi kwa mwaka. Soko la maua lipo sana.
OFA: Kawnza nashukuru kwa wale wote waliojifunza haya mafunzo ya mkaa kutoka katika DVD nilizowatumia. Kutokana na umuhimu huu nimeamua kutoa ofa ya DVD ya ziada kama ofa bure utakapo nunua DVD ya mkaa au greenhouse. Dvd hii ya ofa inafundisha hatua kwa hatua jinsi ya kulima kilimo cha kisasa cha maua. Na hii huhitaji hata kuwa na greenhouse. Na unaweza anza na kwa mtaji usiozidi laki moja na unapata faida kubwa baada ya miezi 3 tu.
Katika kilimo chako utapanda miche 150 kwa square metre sasa itategemea eneo lako lina ukubwa gani. Mche mmoja utauuza kwa sh. 6 hivyo kwa sq metre unatengeneza sh. 900. Mfano kama una shamba la ekari 1 utapata miche 735000 ambapo ukiiuza utapata sh. 4,410,000. Na hii ni baada ya siku 75 - 90 tokea umeipanda. Pia utajifunza technique ya upandaji itakayokuwezesha kuweza kuvuna mara 2 kwa wiki kwa mwaka mzima. Hivyo piga hesabu utapata sh. ngapi kwa mwaka. Soko la maua lipo sana.
Tatzo letu kubwa ni mtaji ila kilimo ya maua ni nzuri mno