Hata lotti masai, mwana ally, ladyfurahia, thegreat genius, mimi.mimi, husninyo, dolevaby, africando na yeyote yule katika hii thread ni biashara2000! This guy has a lot of time in his hands.
Mi nadhani cha muhimu hapa ni kuendeleza kile ambacho baadhi ya members waliochangia katika thread hii walioamua kujiunga pamoja na ku share uzoefu wao na kuamua kukutana na kuanzisha mashirikiano, watu wa dar na arusha nadhani. Hii ndio inayotakiwa ifanyike. Watu wameamua kuondokana na umaskini. Kila mtu amechoka kuishi maisha ya kutokujua kesho atapata wapi chakula, mavazi na nyumba. Conspiracy theories kama unazipenda kuna section ya intelligence ningeomba uwe una spend muda wako huko. Humu watu waachwe wajifunze na kuanzisha miradi yao ya kujiingizia kipato.