Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
- Thread starter
- #261
Ndugu biashara2000 kwanza pole na majukumu mazito ya kutusaidia sisi wajasiliamali wa hapa bongo.
Bwana biashara2000, mimi kuna ishu najiuliza sana kuhusu upatikanaji wa masoko, hapa MBEYA gunia moja la mkaa ni kuanzia Tsh.25,000 mpaka Tsh.27,000. Je naweza kutengeneza faida kweli kwenye hii mambo. Naomba unisaidie ili nijikwamue kiuchumi,
Natanguliza shukrani za dhati
.made in mby city.
Inategemea uko eneo gai, ila gharama ya kutengeneza gunia 1 kubwa kabisa la mkaa ni sh 3500 hivyo utapanga mwenyewe hapo ni bei gani uwauzie hao wateja wako kulingana na eneo uliopo.
