Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
Ndugu biashara2000 kwanza pole na majukumu mazito ya kutusaidia sisi wajasiliamali wa hapa bongo.
Bwana biashara2000, mimi kuna ishu najiuliza sana kuhusu upatikanaji wa masoko, hapa MBEYA gunia moja la mkaa ni kuanzia Tsh.25,000 mpaka Tsh.27,000. Je naweza kutengeneza faida kweli kwenye hii mambo. Naomba unisaidie ili nijikwamue kiuchumi,
Natanguliza shukrani za dhati

.made in mby city.

Inategemea uko eneo gai, ila gharama ya kutengeneza gunia 1 kubwa kabisa la mkaa ni sh 3500 hivyo utapanga mwenyewe hapo ni bei gani uwauzie hao wateja wako kulingana na eneo uliopo.
 
mkuu hiyo costs ya 3500/- unsifikiaje. maana huu uji unapikwa na kuni au mkaa. haya mabaki ya jivu jeusi utayapata either kuyafata mashambani uje uyachome nk au kuuziwa. halikadhalika chenga za mkaa.ili uupate unga wake lazima utumie muda kuuponda nk..je muda wote huu umeupa gharama gani..point yangu hapa naona vifaa inawezekana havina bei lakini muda unaotumika kulipata hilo gunia moja ndio tatizo kubwa
 
bw biashara umefikia wapi katika yale majaribio yako ya zile chemicals zinazosaidia kuongeza ubora wa mkaa?

Nimefikia maamuzi kuwa chemicals sio za lazima kuziweka katika process nzima ya uzalishaji wa mkaa wako kwa sababu kadhaa. Chokaa kazi yake inafanya mkaa uwe mweupe pale ambapo umeuwasha na uko tayari kupikiwa. Ni kama kitu kinachokusaidia kukueleza kuwa mkaa wako ushakolea moto hivyo uko tayari kupikiwa. Tatizo ni kwamba inafanya mkaa wako uwe mweupe kitu ambacho wateja hawakipendi

Sodium nitrate inafanya mkaa wako kuwaka haraka ila kutokana na bei yake madukani inafanya gharama yake iongezeke maradufu hivyo sioni umuhimu wa kuitumia

calcium carbonate inawekwa ili kuongeza muda wa mkaa kupikia. Ila muda inaouongeza ni dk chache sana hivyo sio muhimu sana kutumika ukizingatia bei yake ni kubwa madukani

Hivyo ni kwamba utengenezaji wa nkaa bila hizi chemicals kuongezwa ndio njia sahihi kabisa ya uzalishaji mkaa. Mkaa wako utakuwa umezalishwa kwa gharama ndogo hivyo ni faida kwako na ubora wake ni wa juu kuliko mkaa wa kawaida. Hivyo inashauriwa na wataalamu kufuata maelekwezo niliyoyaandika kwenye kitabu ili kutengeneza mkaa mzuri na wa kisasa
 
mkuu hiyo costs ya 3500/- unsifikiaje. maana huu uji unapikwa na kuni au mkaa. haya mabaki ya jivu jeusi utayapata either kuyafata mashambani uje uyachome nk au kuuziwa. halikadhalika chenga za mkaa.ili uupate unga wake lazima utumie muda kuuponda nk..je muda wote huu umeupa gharama gani..point yangu hapa naona vifaa inawezekana havina bei lakini muda unaotumika kulipata hilo gunia moja ndio tatizo kubwa

Ndio maana hapo nikasema kuwa inategemea na sehemu ambayo unapata hizo materials. Mimi kiwanda changu kiko kibaha ambapo bei ya raw materials inatofautiana na dar au arusha. Huku chenga za jivu unaweza pata hata bure kwa kuwa ziko ntingi na uzalishaji wa mkaa wa kawaida ndio unafanyika maeneo ya huku. Mimi sasa hivi natumia maranda zaidi na kwa kuwa nachukua mengi nanunua gunia 1 sh. 600. Nikiprocess magunia 3 natengeneza guunia 1 la mkaa. Ukichanganya na gharama nyingine inafika 3500.

Ishu ya muda hiyo huwezi juikimbia maana mkaa unahitaji muda kuutengeneza. Pia inategemea na eneo ulipo kama nilivyosema mwanzo. Km eneo lako liko mbali na raw materials basi utatumia muda na gharama kubwa kukusanya raw materials tofauti na yule aliyeko karibu na raw materials. Kiwanda changu mimi kiko karibu kabisa na raw materials zote
 
ni kweli kabisa hata mm na myamba mbepo juzi tulikua tunajadiiana kuhusu hizo chemicals cz tulipitia writtings mbalimbali tukakuta hivo vitu na wataalam wanasema kuna ya.kuongeza uwezo wa mkaa kuwaka kwa ukali,nyingne mkaa kuwaka muda mrefu hadi white chalk unatumija na wanasema una positive impact.
mm leo nitest sample yangu nyingne ambayo ni sample ya tatu baada ya ushauru wa bw 2000 na wadau wengne mtu poa na wengne na naona kuna dalili za kuwepo positive impact ksho kuanzia asubuhi ntautumia niendelee kuucheki

mjin shule mwanangu jembe la nn?

Una id saba zote unazifanyia kazi duh.
 
Tripple A, huamini unaacha. Kweli ukifuatilia sana comments za watu humu huwezi fanikiwa.

Zilipotoka nafasi z ajira viettel watu walikandia sana na wengine wakaweka uzi kabisa kusema jama ni matapeli. Niliomba kazi pale nikaitwa kwenye interview ya online.
Ile interview ilifanyikia IFM, tena ikawa nongwa kuwa jamaa hawana hata ofisi. Tukaiwa kwenye oral ofisini kwao, sasa midomo ya watu kama nyie ikafungwa kabisa. Saa hizi sibabaishwi na maoni kama yako.
Mimi ni mwenyeji wa Mbeya na sasa niko dar kijitonyama. Biashara yuko kibaha ukitaka kamwone huko na ukitaka njoo kwangu au mwone lotti yeye yuko tabata au kama uko arusha mwone mwana ally. Lakini wa kwanza kutna na Biashara2000. Huji kwangu bila kukutana naye au kuwasiliana naye maana ntakuuliza maswali ambayo ukijikanyaga najua unataka kukwepa hiyo 10000 wakati kwenda kulewa au kununua malaya unatumia zaidi ya laki. Hutaki biashara, acha na funga domo fullstop
 
Tripple A, huamini unaacha. Kweli ukifuatilia sana comments za watu humu huwezi fanikiwa.

Zilipotoka nafasi z ajira viettel watu walikandia sana na wengine wakaweka uzi kabisa kusema jama ni matapeli. Niliomba kazi pale nikaitwa kwenye interview ya online.
Ile interview ilifanyikia IFM, tena ikawa nongwa kuwa jamaa hawana hata ofisi. Tukaiwa kwenye oral ofisini kwao, sasa midomo ya watu kama nyie ikafungwa kabisa. Saa hizi sibabaishwi na maoni kama yako.
Mimi ni mwenyeji wa Mbeya na sasa niko dar kijitonyama. Biashara yuko kibaha ukitaka kamwone huko na ukitaka njoo kwangu au mwone lotti yeye yuko tabata au kama uko arusha mwone mwana ally. Lakini wa kwanza kutna na Biashara2000. Huji kwangu bila kukutana naye au kuwasiliana naye maana ntakuuliza maswali ambayo ukijikanyaga najua unataka kukwepa hiyo 10000 wakati kwenda kulewa au kununua malaya unatumia zaidi ya laki. Hutaki biashara, acha na funga domo fullstop

Well said my friend. Ukitaka kujua mtu ambaye amekuwa maisha yake yote akionewa na kubanwa utamjua tu maana anapopewa uhuru wa kuongea mtandaoni utaona comments zake tu. Huwa ni watu waliojawa na negativity kwenye akili zao. Mfano huyu bluetooth angalia posts zake nyingine ktk jf utajua tu character yake. kumbuka huwezi ridhisha mtu sana sana waache waendelee kupoteza pesa zao kwenye internet cafe. we make money
 
Kwa yule aliyeulizia kuhusu dryer ya mkaa, kuna jamaa yangu yuko iringa sasa kutokana na hali ya hewa ya kule ilivyo akaamua kujenga tanuru kama lile la kuchomea matofali ila kubwa kwa ajili ya kuanikia mkaa na inakausha siku hiyo hiyo. Nawe unaweza tumia ujanja huo
 
1.jpg

Unaweza tengeneza kama hili tanuru yanayotmika sana nchini argentina
 
Tripple A, huamini unaacha. Kweli ukifuatilia sana comments za watu humu huwezi fanikiwa.

Zilipotoka nafasi z ajira viettel watu walikandia sana na wengine wakaweka uzi kabisa kusema jama ni matapeli. Niliomba kazi pale nikaitwa kwenye interview ya online.
Ile interview ilifanyikia IFM, tena ikawa nongwa kuwa jamaa hawana hata ofisi. Tukaiwa kwenye oral ofisini kwao, sasa midomo ya watu kama nyie ikafungwa kabisa. Saa hizi sibabaishwi na maoni kama yako.
Mimi ni mwenyeji wa Mbeya na sasa niko dar kijitonyama. Biashara yuko kibaha ukitaka kamwone huko na ukitaka njoo kwangu au mwone lotti yeye yuko tabata au kama uko arusha mwone mwana ally. Lakini wa kwanza kutna na Biashara2000. Huji kwangu bila kukutana naye au kuwasiliana naye maana ntakuuliza maswali ambayo ukijikanyaga najua unataka kukwepa hiyo 10000 wakati kwenda kulewa au kununua malaya unatumia zaidi ya laki. Hutaki biashara, acha na funga domo fullstop

Hahahaaa. Kweli kabisa kaka
 
Habari.

Wiki iliyopita nilitangaza humu JF kuwa nauza moja ya mashine zangu za kutengeneza mkaa wa kisasa sababu ikiwa ni kuongeza mashine kubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji. Baada ya siku chache nikafanikiwa kuiuza. Nashukuruni kwa watu wote mlioniandikia msg. Karibu wote wameniandikia wakiniomba niwaelekeze jinsi mkaa huo unavyotengenezwa. Kuna wengine wao wameniomba waje watembelee mradi waone hiyo mashine nimewapa namba yangu. Na kuna wengine wameniomba niwaeleze jinsi ya kutengeneza mkaa huu bila kutumia mashine kwa kuwa hawawezi ku afford kununua mashine hizi.

Inawezekana kutengeneza mkaa huu nyumbani kwako kama una eneo la kutosha bila kuwa na mashine. Ila utahitaji pipa au mdoo ya bati. Naweza kutoa mafunzo kwa watu wanaotaka. Gharama yake ni sh. 45,000/=. Mafunzo haya ni kwa mkazi anayeishi Dar. Kutengeneza bila kutumia mashine utakuwa unatengeneza gunia 1 - 2 au zaidi kwa siku kutegemeana na spidi ya mikono yako. So kwa kuweka investment ya 45000/=, ndani ya siku 2 za uzalishaji utakuwa usharudisha investment yako (kama utakuwa unatengeneza gunia 2). Namba yangu ni 0758 308193.

Asanteni

Nmefanikiwa kuutengeneza mkaa nashukur kwakweli unawaka vizuri,nafanya sample ingine sasa
 
mkuu hiyo costs ya 3500/- unsifikiaje. maana huu uji unapikwa na kuni au mkaa. haya mabaki ya jivu jeusi utayapata either kuyafata mashambani uje uyachome nk au kuuziwa. halikadhalika chenga za mkaa.ili uupate unga wake lazima utumie muda kuuponda nk..je muda wote huu umeupa gharama gani..point yangu hapa naona vifaa inawezekana havina bei lakini muda unaotumika kulipata hilo gunia moja ndio tatizo kubwa

Yaaah kweli mama angu maan hata mimi nilitumia mda kweli kutwanga mpaka nikawaza hvi hakunaga mashine ya kusaga chenga cha mkaa?maana hapa nilipo mimikupata chenga. Ni rahisi sana kuliko maaranda
 
Habari

Hii ni kwa wale wote walioko mbali ya Dar na Kibaha. Watu wengi walioko mikoani wameenipigia wakiniuliza kama wanaweza pata material ambayo naweza watumia wakajifunza na kuanza kutengeneza mkaa right away maana wako so interested. Basi nimeona niwasikilize kilio chao.

Kuna kitabu ambacho nimekiandaa kina mafunzo haya ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa ajili ya wale wote walioko mbali ya Dar na Kibaha. Kitabu hiki kinakufundisha kuanza mradi wa kutengeneza mkaa kwa mkono ukiwa na mtaji wa shilingi 5000 tu na kipato chako kikawa sh. 30,000 kwa siku na pia kina mafunzo na picha za jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia mashine iwapo una mpango wa kununua mashine soon.

Wanaohitaji kitabu hiki wawasiliane na mimi kwa 0758 308193 na kinauzwa kwa sh. 10,000 tu. Kifupi ni kuwa una invest sh. 10,000 ya kitabu na unaandaa mtaji wa sh. 5000 tu unaanza biashara ya kutengeneza mkaa ambayo itakuwezesha kutengeneza sh 30,000 kila siku. Dili zur hilo!

Asanteni kwa support yenu.

mtaji 5,000/=
Kipato kwa siku 30,000/=
Kipato kwa mwezi 30,000 x 30 = 900,000/=
Gharama za malighafi.......?????
Upatikanaji wa malighafi......?????

Mkaa wa kisasa au mkaa mbadala?

Asante kwa teknolojia mupya mukuu!
 
Yaaah kweli mama angu maan hata mimi nilitumia mda kweli kutwanga mpaka nikawaza hvi hakunaga mashine ya kusaga chenga cha mkaa?maana hapa nilipo mimikupata chenga. Ni rahisi sana kuliko maaranda
Hizo milling machine zipo mkuu reen elius zinarahisisha sana. hata mixing machine pia zipo ila ni mtaji tu. ukiwa na mtaji mzuri unafanya production kubwa na bora zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Hizo milling machine zipo mkuu reen elius zinarahisisha sana. hata mixing machine pia zipo ila ni mtaji tu. ukiwa na mtaji mzuri unafanya production kubwa na bora zaidi.

Daah asante sana mkuu kama zipo znauzwaje? Nijue bei zake ili nione kama naweza kuhandle ama vipi
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom