Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
Huku moro kuna jamaa alianzisha mradi wake mwezi august mwaka jana, sasa hivi anajenga
 
hebu tuache uvivu, kila kitu etti hatujui, hii itaendelea hadi lini ???????????????????????????????????
sote twajua kuwa shule huanza kufundisha kiingereza toka darasa la tatu na kuendelea
 
hebu tuache uvivu, kila kitu etti hatujui, hii itaendelea hadi lini ???????????????????????????????????
sote twajua kuwa shule huanza kufundisha kiingereza toka darasa la tatu na kuendelea

Fafanua hapo sijaelewa unamaanisha nini
 
Kuna mtu alinunua kitabu cha kutengeneza mkaa wa kisasa jana akawa anaomba kwa kuwa muda wa ofa ya kitabu cha ziada cha siri za ujasiriamali kilikuwa kimeisha, akaniomba kama naweza niongeze muda wa ofa. Nimeamua kuongeza muda wa ofa mpaka tarehe 30 March. Kwa hiyo ukinunua kitabu cha mkaa unapata kitabu cha siri kuu 4 za ujasiriamali bure. Siri hizi ni zile zinazotumiwa na wafanyabiashara wakubwa ndio maana wanafanikiwa ambapo wajasiriamali wadogo hawazijui. Sasa na wewe unaweza zifahamu na kuzitumia kwenye biashara yako na kufanikiwa kama matajiri wengine.
 
Kuna mtu alinunua kitabu cha kutengeneza mkaa wa kisasa jana akawa anaomba kwa kuwa muda wa ofa ya kitabu cha ziada cha siri za ujasiriamali kilikuwa kimeisha, akaniomba kama naweza niongeze muda wa ofa. Nimeamua kuongeza muda wa ofa mpaka tarehe 30 March. Kwa hiyo ukinunua kitabu cha mkaa unapata kitabu cha siri kuu 4 za ujasiriamali bure. Siri hizi ni zile zinazotumiwa na wafanyabiashara wakubwa ndio maana wanafanikiwa ambapo wajasiriamali wadogo hawazijui. Sasa na wewe unaweza zifahamu na kuzitumia kwenye biashara yako na kufanikiwa kama matajiri wengine.

Tunashukuru sana
 
hebu tuache uvivu, kila kitu etti hatujui, hii itaendelea hadi lini ???????????????????????????????????
sote twajua kuwa shule huanza kufundisha kiingereza toka darasa la tatu na kuendelea

namaanisha nini?
 
Leo asubuhi nimefanya training ya kutengeneza mkaa kwa wa mama kadhaa asubuhi na baadae kufanya kwa kihana mmoja kule masaki. Mungu nashukuru kwa nafasi hizi unazonipa. Nimefurahi wakati wale wamama wa kibaha kwa mfipa wakiniambia nimewapa mwanga mpya katika maisha yao. Sikutegemea mambo kama haya Mungu angenijalia kuyafanya kwa watu wa kawaida kabisa. Walikuwa wanawake 7 then baadae nikaenda masaki kufanya traininh kwa kijana mmoja ambaye alinipa ukaribisho mzuri sana.
 
Asanye Mungu kwa watu hawa walionipa nafasi ya kuwainulia hali za maisha yao
 
OFA MAALUM KWA WAJASIRIAMALI: Ukinunua kitabu hiki cha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa utapata kitabu cha siri kuu 4 za ujasiriamali na cha jinsi ya kufanya kilimo cha greenhouse bure kama ofa. Bei itakuwa sh 15,000 kwa ofa hii. Ile bei ya sh. 10,000 itarudi baada ya ofa hii kuisha. Ofa hii itaisha tarehe 30.06
 
OFA MAALUM KWA WAJASIRIAMALI: Ukinunua kitabu hiki cha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa utapata kitabu cha siri kuu 4 za ujasiriamali na cha jinsi ya kufanya kilimo cha greenhouse bure kama ofa. Bei itakuwa sh 15,000 kwa ofa hii. Ile bei ya sh. 10,000 itarudi baada ya ofa hii kuisha. Ofa hii itaisha tarehe 30.06

Nimeku PM bro
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom