Mafuriko Dar es Salaam: liko wapi ziwa Mwananyamala, Ziwa Tandale na ziwa Magomeni?

Mito ikijengewa kingo zake mafuriko yanaisha. Kumbuka miji yote duniani, kandokando mwa bahari, ilipojengwa enzi hizo ilitumia maji yasiyokuwa ya bahari hivyo kulikuwa na vyanzo vya maji baridi kama mito. Ikijengewa mafuriko inabaki historia.
usicheze na nguvu za maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…