Mafuriko Dar ushauri wa bure kwa vijana wanaotafuta maisha

Kataa umasikini, kataa vitu rahisi vinavyoweza kuharibu maisha yako
 
Ipo hi mkuu kuna jamaa wawili nakaa nao hapa....aisee wana miaka miwil na Wala hawana mpango wa kuondoka leo ama kesho wananambia ikitokea mara moja tu haijirudii Tena had mwakani
 
Matokeo ya mipango miji mibovu ndugu yangu tofauti na hapo hakuna sijui bondeni walq mlimani.
 
Nilichofundua watu wengi wamejenga kwenye njia za maji

Serikali haizibui mitaro
 
Dah sitasahau miaka ya 2000+ niliwahi kupanga kinondoni mkwajuni eneo la garden kule kama unataka kwenda mwananyamala bondeni.
Siku hiyo nimerudi home nimetoka mishe halafu usiku kuingia ghetto nakuta kapeti linaelea kutia mguu maji kwenye goti naenda kuchungulia dirisha naona taa za magomeni Ile lile blonde lote ni bahari maji kama yote nikawa najiuliza maji yameingilia wapi? kumbe maji yanachemkia chini kama kama chemchem. Kifupi nilihama baadae ila mabondeni hakufai ukienda kiangazi na wenye nyumba wanaringa ila masika utawaonea huruma
 
Someone told me watu wote JF wana nyumba nzuri na magari. na kwa ambao hawajajenga, they live in luxurious Appartments.
Pole sana mkuu kwa yaliyokupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…