Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hali ilivyokuwa Leo jioni baada ya mvua kunyesha kwa masaa kadhaa.
Asante Mungu kimbunga Jobo hakikupiga DAR ES SALAAM, pangechimbika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar kama kwetu kigoma yaani kero tupuHali ilivyokuwa Leo jioni baada ya mvua kunyesha kwa masaa kadhaa.
View attachment 1767973Asante Mungu kimbunga Jobo hakikupiga DAR ES SALAAM, pangechimbika
Wapinzani wametuchelewesha sanaHii dar haina uwezo wa kukabiliana na mvua tu achilia mbali kimbunga.
Madalali na wenye viwanja wamezima simu zaoDsm eneo kubwa ni shamba la mpunga,wale watafuta viwanja ndiyo muda wake huu wa kwenda kulipia kiwanja
Vibaka wana bonge la party leoHapo Mkwajuni magari kibao yamezima muda huu
Na mnapenda makai makuu yarudi huko!Dodoma tuu.Matatizo yanaleta akili,tunakomaa na Dar yetu mpaka kieleweke
Kama unataka nyumba ya kuishi au kiwanja ndiyo muda wake huu.......🤣🤣🤣Madalali na wenye viwanja wamezima simu zao
Yes... Viwanja visivyotuamisha maji leo madalali wanavipandisha Bei Mara 7Kama unataka nyumba ya kuishi au kiwanja ndiyo muda wake huu.......🤣🤣🤣
Kadri ya vegetation cover inavyokua chache, ndivyo ongezeko la maji huwa kubwa,ndiyo maana kwenye majani maji hutiririka machache vichakani hadi mvua iwe kubwa ndipo utaona maji. Lakini maeneo ambayo hayana miti wala majani na ni makazi maji hukusanywa kwa uwingi sana kama ambavyo bati hukusanya maji mengi. Mambo ya mabadiliko ya tabia za nchi, ongezeko kubwa la idadi ya watu, tabia kinzani za kutupa uchafu, shughuli za kibinadam, global warming nk vimebadili tabia za zamani na kuleta changamoto.mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...
tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...
Na mnapenda makai makuu yarudi huko!Dodoma tuu.
Na mnapenda makai makuu yarudi huko!Dodoma tuu.