Mafuriko ya kuku wa nyama Dar es salaam na bei kushuka nini chanzo?

Mafuriko ya kuku wa nyama Dar es salaam na bei kushuka nini chanzo?

Hii nayo kaz,sasa kila mtu anafuga,itabidi serikal iangalie kwa undani chakufanya hapa kwan nao wanalipa kodi
Dah....wangefanya kama coro show[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna pesa inayopatika kiulaini changamoto lazima ziwepo, nilitaka kusema kwa habari chanjo kwa kuku ni changamoto unaweza kuwachanja harafu wakafa hii hutokana huifadhi wa chanjo, chanjo inahifadhiwa kwenye ubaridi na tunajua changamoto ya umeme mara nyingi tunauziwa chanjo ambazo zishakufa kuwa mdadisi sana, kuwa makini sana kwenje ununuzi wa chanjo wiki iliyopita rafiki yangu kapata hasara ya kuku 200 akafuatwa muuzaji wa chajo anaomba msamaha na maelezomengi. Ninachota uelewe chanjo zake azikuexpire ila zilikufa kwa uhifadhi mbaya.
Samahani maelezo hayakuwa katika maada husika
 
habari za leo mkuu. taarifa ulizotoa kuhusu kuingizwa kwa kuku waliochinjwa nchini sio za kuaminika. na pia kuingizwa kwa vifaranga imezuiwa na hairuhusiwi labda iwe ni magendo yamefanyika. kinachoruhusiwa kuingizwa ni mayai ya kuku wazazi kwa kibali maalumu. (parent stock eggs) tegemea soko kuwa zuri kuanzia mwisho wa mwezi huu.
 
NDO MOVE BAADA YA KOROSHO AU ILA HII HAITADUMU
 
Kweli bei imeshuka sana, wanunuzi sasa hivi wanataka kununua kuku mwenye uzito zaidi ya kilo moja, hiyo kuhusu kuku wa uholanzi sikuwahi isikia, so it means kama hao wa uholanzi wataendelea kuleta soko litakuwa hivi hivi?? Basi ufugaji utakuwa mgumu sana.
Mimi nina kuku 800 nategemea kuwauza next week hapa tumbo joto!!!
usijali haitadumu ssna wanaliwa sana
 
Kuku wa wanaume wa Dsm, sisi wa mikoani hatuli hayo makuku yenu na mayai yake.. Kitu cha kienyeji kutoka kwa mama pale mgombani.. [emoji2] Ndizi ya mshakova/ mnyenyere, dona la mbalale(yanga).. [emoji2] Na paja la kuku wa kienyeji..
 
Katika hili la kuingiza kuku kutoka ulaya Serikali inatakiwa kuliangalia kwa umakini, nchi za Africa Magharibi tayari wameanza kuona athari zake kwa sababu wao ni soko kubwa la hao frozen chicken kutoka ulaya hali iliyopelekea kuua soko la wafugaji wa ndani na pia ubora wa hao kuku sio wa uhakika.
 
habari za leo mkuu. taarifa ulizotoa kuhusu kuingizwa kwa kuku waliochinjwa nchini sio za kuaminika. na pia kuingizwa kwa vifaranga imezuiwa na hairuhusiwi labda iwe ni magendo yamefanyika. kinachoruhusiwa kuingizwa ni mayai ya kuku wazazi kwa kibali maalumu. (parent stock eggs) tegemea soko kuwa zuri kuanzia mwisho wa mwezi huu.
Natamani iwe kweli, lakini mkuu kama miezi miwili nyuma ilikuwa ni kazi sana kupata vifaranga, ila kwa sasa wanapatikana kirahisi sana, sababu inaweza ikawa ninini?? Au hao wazazi wamekuja kwa wingi as a result productions imeongezeka???
 
Umenipa Idea, thanks....
Lakin huko si mpaka uwe na godfather?? Au niende blindly..
we nenda tu utajuaga huko huko jitose ila jiandae kukopwa kama ni shule za umaa Na uwaambie unaweza kusupply kwa muda mrefu itabidi uunganishe wafugaji muwe wengi kupata supply ya kutosha , na mkiweza anzisheni umoja wa wafugaji wa kuku wa nyama NA MAYAI (UWAKUNYAMA)
 
Katika hili la kuingiza kuku kutoka ulaya Serikali inatakiwa kuliangalia kwa umakini, nchi za Africa Magharibi tayari wameanza kuona athari zake kwa sababu wao ni soko kubwa la hao frozen chicken kutoka ulaya hali iliyopelekea kuua soko la wafugaji wa ndani na pia ubora wa hao kuku sio wa uhakika.
hivi hata hapa tunaagiza kuku toka nje Jamani wakulima.na wafugaji wamewakosea nn hii setikali....
 
Kwa mtazamo wangu nadhani ni issue ya chain reaction kwa mrengo huu:

Mzunguko wa fedha umekua si mzuri kwa watu wengi i meani Vipato vya watu ktk kada fulani vimeathirika hivyo kupelekea purchasing power kupungua kwa mfano watumishi marupurupu kibao yamekatwa ambayo kimsingi yalikuwa yanasaidia sana kuongeza nguvu ya kutumia kando ya mshahara. Kuna watu na biashara au investment nyingi tu zimeathirika direct au indirect kwa issue kama hii.

Katika mazingira kama haya hao ambao kimsingi walikua ndio soko nao wanaingia ktk uzalishaji nao wanaanza kutafuta njia za kujiongozea kipato ndio unakuta wameingia kwente kilimo cha matunda kama tikiti, wako walioingia ktk ufugaji, demand inapungua huku supply inaongezeka.

Nina mfano hai wa mtu ambaye ni fundi ujenzi lakini kwa sababu ya kazi za ujenzi kupungua ameanza kulima mboga za majani, naamini wako wengi sana kama huyu, I'm sure ukifanya ka survey kadogo katika mazingira yako utagundua kuna nyumba/sehemu ambazo few years back hazikuwa na kuku kwa ajili ya biashara but now wanafuga.

Challenge hapa ni kujiongeza ktk kutengeneza masoko mapya ambayo bei ni nzuri, maana D'salaam in total kuna watu kama 5mil+ kwa hiyo nategemea watu wakubwa wenye uwezo wa kununua wawe kama 3mil+ (kama nitakua sahihi) na nina uhakika uzalishaji wetu wa kuku, mayai haujafika huko, so inawezekana kuna eneo bei inaweza ikawa nzuri kuliko sehemu nyingine.
 
Back
Top Bottom