Mafuriko ya kuku wa nyama Dar es salaam na bei kushuka nini chanzo?

Mafuriko ya kuku wa nyama Dar es salaam na bei kushuka nini chanzo?

Ikishuka zaidi watu wataacha kufuga, wachache wanaobaki watapandisha bei, back to square one! Lakini on a more serious note, ufugaji kwetu hapa una changamoto nyingi, kuu ni vyakula vya mifugo kuwa ghali sana zaidi ya nchi nyingine. Hivyo without protection, wafugaji wetu hawawezi ku-survive! Lakini protection nayo inatakiwa iwe temporary wakati mitigation measures zinafanyika. Mojawapo ikiwa kuwepo na mkakati wa ku-encourage mass production ya feed ingredients ikiwemo Soya na mahindi, CHEAPLY. CHEAPLY. HOW DO WE PRODUCE FEED CHEAPLY IN TANZANIA? Tafakari!
Kwani jeshi haliwezi kuingilia kati likanunua kuku wetu wote ?
 
Badili mfumo hamia kwa kuku wa mayai ingawa ufugaji wake ni gharama kidogo au ufuge wa mayai ya kienyeji soko lake halishukagi kirahisi na ningumu kuwa imported kutoka popote
 
Nina kuku zangu saba za kienyeji home nasubiria bei ifike 100k[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kweli bei imeshuka sana, wanunuzi sasa hivi wanataka kununua kuku mwenye uzito zaidi ya kilo moja, hiyo kuhusu kuku wa uholanzi sikuwahi isikia, so it means kama hao wa uholanzi wataendelea kuleta soko litakuwa hivi hivi?? Basi ufugaji utakuwa mgumu sana.
Mimi nina kuku 800 nategemea kuwauza next week hapa tumbo joto!!!
Peleka uholanzi
 
Kuna jirani yetu alikua anafurahi kila anaposikia hakuna nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi, alikua anaongelea kooni kwa kisema "NAA BAADO" Kibri chote kimeisha na mstaarabu mno, mtaani anaitwa mpya.
kijumla hii hali Heshima inakuja.
 
Wanunuzi mifuko imetoboka,vyuma baba vyuma........
 
What I suggest serikali kuziba mipaka kuruhusu ndani tu mzunguko wa kuku hii itarejesha heshima ya soko kama nyuma
 
In short sio kuku tu. We fatilia hata mazao ya wakulima wa tz kma matikiti, maembe, machungwa, vitunguu. Hivi vyote vimeporomoka bei.


Sababu ni kuwa watu hawana pesa. Sasa mfanyakaz mwaka wa 3 hajaongezewa mshahara mnatgmea nn?
Na bei ya magari nayo imeshuka?
 
Ikumbukwe ni sisi wenyewe wananchi tulipiga sana kelele serikali ilipoamua kuwa strict na uingizaji holela wa vifaranga na kuku. Kelele zilipigwa sana.

Kwa hiyo kwa serikali kuregeza msimamo ili kuongeza uingizaji wa vifaranga na kuku, Mimi naona ni ku respond kwa matakwa ya wananchi.

Ushauri wangu, sababu tuna serikali iliyoonyesha nia ya dhati ya kuendeleza uzalishaji wa ndani, ni vema wafugaji wakawa na chama imara kitakachotoa ushauri muafaka kwa serikali hasa kuhusiana na kadhia tunayoijadili.
 
Chanjo ambayo haikuhifadhiwa vizuri ukawapa kuku wako na kisha wakafa wewe kama mfugaji unajuaje kua hii chanjo haikua na ubora? Na baada ya kuku kufa ulienda kwa daktari akafanya postmortem na kukupa matokeo kua wamekufa kwasababu ya chanjo haikua na ubora? Kuna magonjwa yakuzuiliwa na chanjo na mengine yanatibiwa na dawa hivyo hatakama umewapa kukuwako chanjo haimaanishi kua hawatakufa na ugonjwa mwingne (ambao hauna chanjo)!
Hakuna pesa inayopatika kiulaini changamoto lazima ziwepo, nilitaka kusema kwa habari chanjo kwa kuku ni changamoto unaweza kuwachanja harafu wakafa hii hutokana huifadhi wa chanjo, chanjo inahifadhiwa kwenye ubaridi na tunajua changamoto ya umeme mara nyingi tunauziwa chanjo ambazo zishakufa kuwa mdadisi sana, kuwa makini sana kwenje ununuzi wa chanjo wiki iliyopita rafiki yangu kapata hasara ya kuku 200 akafuatwa muuzaji wa chajo anaomba msamaha na maelezomengi. Ninachota uelewe chanjo zake azikuexpire ila zilikufa kwa uhifadhi mbaya.
 
Back
Top Bottom