Mafuriko ya kuku wa nyama Dar es salaam na bei kushuka nini chanzo?

Hii nayo kaz,sasa kila mtu anafuga,itabidi serikal iangalie kwa undani chakufanya hapa kwan nao wanalipa kodi
Dah....wangefanya kama coro show[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Samahani maelezo hayakuwa katika maada husika
 
Kwanini humuwazi yule aliyefuga kuku na sasa anauza kwa bei ya hasara
 
habari za leo mkuu. taarifa ulizotoa kuhusu kuingizwa kwa kuku waliochinjwa nchini sio za kuaminika. na pia kuingizwa kwa vifaranga imezuiwa na hairuhusiwi labda iwe ni magendo yamefanyika. kinachoruhusiwa kuingizwa ni mayai ya kuku wazazi kwa kibali maalumu. (parent stock eggs) tegemea soko kuwa zuri kuanzia mwisho wa mwezi huu.
 
NDO MOVE BAADA YA KOROSHO AU ILA HII HAITADUMU
 
usijali haitadumu ssna wanaliwa sana
 
Kuku wa wanaume wa Dsm, sisi wa mikoani hatuli hayo makuku yenu na mayai yake.. Kitu cha kienyeji kutoka kwa mama pale mgombani.. [emoji2] Ndizi ya mshakova/ mnyenyere, dona la mbalale(yanga).. [emoji2] Na paja la kuku wa kienyeji..
 
Katika hili la kuingiza kuku kutoka ulaya Serikali inatakiwa kuliangalia kwa umakini, nchi za Africa Magharibi tayari wameanza kuona athari zake kwa sababu wao ni soko kubwa la hao frozen chicken kutoka ulaya hali iliyopelekea kuua soko la wafugaji wa ndani na pia ubora wa hao kuku sio wa uhakika.
 
Natamani iwe kweli, lakini mkuu kama miezi miwili nyuma ilikuwa ni kazi sana kupata vifaranga, ila kwa sasa wanapatikana kirahisi sana, sababu inaweza ikawa ninini?? Au hao wazazi wamekuja kwa wingi as a result productions imeongezeka???
 
Umenipa Idea, thanks....
Lakin huko si mpaka uwe na godfather?? Au niende blindly..
we nenda tu utajuaga huko huko jitose ila jiandae kukopwa kama ni shule za umaa Na uwaambie unaweza kusupply kwa muda mrefu itabidi uunganishe wafugaji muwe wengi kupata supply ya kutosha , na mkiweza anzisheni umoja wa wafugaji wa kuku wa nyama NA MAYAI (UWAKUNYAMA)
 
hivi hata hapa tunaagiza kuku toka nje Jamani wakulima.na wafugaji wamewakosea nn hii setikali....
 
Kwa mtazamo wangu nadhani ni issue ya chain reaction kwa mrengo huu:

Mzunguko wa fedha umekua si mzuri kwa watu wengi i meani Vipato vya watu ktk kada fulani vimeathirika hivyo kupelekea purchasing power kupungua kwa mfano watumishi marupurupu kibao yamekatwa ambayo kimsingi yalikuwa yanasaidia sana kuongeza nguvu ya kutumia kando ya mshahara. Kuna watu na biashara au investment nyingi tu zimeathirika direct au indirect kwa issue kama hii.

Katika mazingira kama haya hao ambao kimsingi walikua ndio soko nao wanaingia ktk uzalishaji nao wanaanza kutafuta njia za kujiongozea kipato ndio unakuta wameingia kwente kilimo cha matunda kama tikiti, wako walioingia ktk ufugaji, demand inapungua huku supply inaongezeka.

Nina mfano hai wa mtu ambaye ni fundi ujenzi lakini kwa sababu ya kazi za ujenzi kupungua ameanza kulima mboga za majani, naamini wako wengi sana kama huyu, I'm sure ukifanya ka survey kadogo katika mazingira yako utagundua kuna nyumba/sehemu ambazo few years back hazikuwa na kuku kwa ajili ya biashara but now wanafuga.

Challenge hapa ni kujiongeza ktk kutengeneza masoko mapya ambayo bei ni nzuri, maana D'salaam in total kuna watu kama 5mil+ kwa hiyo nategemea watu wakubwa wenye uwezo wa kununua wawe kama 3mil+ (kama nitakua sahihi) na nina uhakika uzalishaji wetu wa kuku, mayai haujafika huko, so inawezekana kuna eneo bei inaweza ikawa nzuri kuliko sehemu nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…