JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mvua kubwa imetokea Afrika Kusini wikiendi hii na kusababisha mafuriko makubwa kwa wakazi wa maeneo ya Pwani ya Mashariki ambao wengi wao wamelazimika kuhamishwa katika makazi yao.
Mafuriko hayo yameharibu miundombinu mingi ikiwemo barabara, majengo, hasa maneo ya Durban. Uharibifu huo umetokea ikiwa ni mwezi mmoja tangu mafurikio yasababishe vifo vya watu zaidi ya 400 Nchini humo
“Kuna baadhi ya maeneo yamegeuka kuwa kama kisiwa, hatujapata ripoti kamili ya uharibifu,” amesema Waziri wa KwaZulu-Natal, Sihle Zikalala.
Source: BBC
Mafuriko hayo yameharibu miundombinu mingi ikiwemo barabara, majengo, hasa maneo ya Durban. Uharibifu huo umetokea ikiwa ni mwezi mmoja tangu mafurikio yasababishe vifo vya watu zaidi ya 400 Nchini humo
“Kuna baadhi ya maeneo yamegeuka kuwa kama kisiwa, hatujapata ripoti kamili ya uharibifu,” amesema Waziri wa KwaZulu-Natal, Sihle Zikalala.
Source: BBC