Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hahahahahaa.Halafu eti nae ni mtoto wa mjini jamani ajabu kapigwa kanunua kiwanja kwenye mkondo wa maji!
Ni kweli, nakubaliana na huo ushauri uliompa hapo juu.
Niliiona Sebule ya king wenu jamani inatishaaaa aiseee inabidi abadili fanicha king mzima anazidiwa sebule na shishii,anatuaibishaa