Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
- Thread starter
- #141
Yanafaa na mwilini au ni kwa usoni tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanafaa na mwilini au ni kwa usoni tu?
Hauwi mweupe kabisa, mazuri kwa watu weusiyanafaa kwa mtu mweusi? yaani haychubui ngozi na kukufanya mweupe!!
Hii ni 1kg hakuna tena saiz kubwaUna size kubwa zaid ya hiyo
Mwili mzimaYanafaa na mwilini au ni kwa usoni tu?
Pritty ni inbox namba yako ya wozap make nahangaika na uso wangu vibaya mnooKuna haya pia![]()
17000
Nivea cocoa butter lotionUkiachana na Queen Elizabeth yapi tena mazuri kwa ngozi au mwilin jaman nmepata fake yananuka vibaya
0714547830Pritty ni inbox namba yako ya wozap make nahangaika na uso wangu vibaya mnoo
Asante0714547830
Khaa mbona nilipitwa?Ooooh!!!
Nalendwa
Heaven Sent
Shunie
Sakayo
Maserati
mahondaw
Evelyn Salt
miss chagga
Honey Faith
Mkuje mpate maujuzi huku.
Ndio uanze sasa hivi.Khaa mbona nilipitwa?
nenda shamo tower mbezi beach kuna village supermarket kibox hicho 3500 na kichupa elf 6500