Mafuta mengi sana yagunduliwa Lamu

waache wakule sio?? ndiyo hiyo mikataba ya miaka 100

Mikataba utaliwa ukiwa zuzu usiyejua namna ya majadiliano, ukiwa mtu wa ze ze ze yes yes, unapewa limkataba kurasa 1,000 unatia saini ndio unaishia kuwa na bomba linapitisha gesi huku mkiambwa sio yenu, bora hata mngekuza mihogo huko Mtwara na maisha yaende. Pia bila kuwa na watu makini wataalam wakushauri na uwe mtu wa kuskliza watu kwenye taaluma zao na kuwaheshimu ndio utaishia kufanya kama alivyofanya mwenda zake, kavuruga makinikia akisema kila Mtanzania atapata Noah, hatimaye baada ya hayo mavurugu hamna lolote jipya, mpo pale pale.

Sisi ni manyang'au, tunabanana nao kwenye vitabu, ila hatutafanya ujinga wa kutunisha misuli kijeshi kama wengine ambao waliishia kundondokea pua.
 
hahah utadhani wewe ndo uko in office ndo utapewa mkataba uusaini😀
 
aiseee dah hongera zetuuuu .....tumelamba dumeeee! 😀
 
MK254 anapenda kujijaza upepo, unatumia figure ya 5bn from seismic survey badala ya kutumia figure ya 700ml from exploration wells. Kwa mwenye idea ya uchimbaji wa mafuta anajua tofauti ya data za seismic surveys na exploration wells. Ukitumia data za Seismic surveys basi Zanzibar na Kigoma ( Lake Tanganyika) ni matajiri zaidi ya hiyo 5bn ila hakuna mwenye akili timamu ambaye atatumia seismic data kuthibitisha recoverable oil.
 

Tulia wacha kuwehuka, umeambiwa ndani ya wiki mbili mtapewa data kamili.....
 
Tulia wacha kuwehuka, umeambiwa ndani ya wiki mbili mtapewa data kamili.....
Wewe ndio ungesubiri kwanza baada ya hizo wiki mbili hiyo ripoti itoke kwanza ndio ulete kitu kamili, au ungetumia hiyo 700M kwasasa ambayo ndiyo iliyokuwa na uhakika, punguza mihemuko na ushabiki wa kijuha "some times", wewe ni mtu mzima Sasa.
 
Ndio sababu nimecheka Sana na Wala sijishughulishi na hii habari, hawa jamaa wanamatatizo ya akili, hakuna mafuta hapo ni kelele tupu Kama kawaida Yao.
Tony254
Kwa hivyo hata kama ni 700 million barrels wewe joto la jiwe na Geza Ulole mnadhani kwamba hio sio commercially viable level of oil? Mnanishangaza sana. Mjue Turkana ina 585 million barrels na tayari mafuta ilikuwa commercially viable na ilikuwa ichimbwe. Sembuse 700 million barrels ambayo ni cheaper kuchimba ukizingatia kwamba hakuna pipeline ambayo Kenya inalazimika kujenga kama Uganda? Wacheni wivu basi, mtupe hongera zetu. Hata 700 million barrels bado ni mali nzuri na italeta pesa, ukizingatia mafuta yetu itakuwa cheaper kushinda ya Uganda.
 
Kugundua mafuta sio tatizo ila kasome European Vision of 2030 .Tatizo Dunia inapoelekea ni kwenye matumizi ya nishati ipi.
 
Kugundua mafuta sio tatizo ila kasome European Vision of 2030 .Tatizo Dunia inapoelekea ni kwenye matumizi ya nishati ipi.

Usijilinganishe na bara Uropa, wao wako mbali sana kwenye mengi ila dunia bado ni kubwa na utegemezi wa mafuta bado utakuwepo kwa miaka kadhaa ambapo tutakua tumelamba hizo hela.
 
Tatizo lenu ni kupenda kujikweza, kitu gani kilishindikana kusema mafuta ni 700M barrels badala yake mnasema ni 4.8B kitu kilichowafanya wakenya wengine wanaanza kujilinganisha na Uganda, hata wengine wanadai mumewazidi Uganda?.

Ninyi wakenya ni limbukeni Sana, kitu kidogo tu tayari mnaanza kuwashwa, hata Kama kweli itakuwa ni 4.8B, bado Uganda wapo juu 6B, lakini kwa ujinga wenu lazima mjisifu kwamba ninyi ni zaidi ya kila mtu, hasa huyu mleta mada, ana tabia hiyo ya kujikweza sana, punguzeni ujinga.
 
Thumbs up Majiran sasa mtangaze ili muanze utaratibu mtu gawie sie ndugu zenu wa EAC. Just like Uganda did
 
Hakuna cha kugawiwa. Nyie lazima mnunue kama nchi zingine.
Off course tuta wanunuza tu ila ukumbuke na sie tuna natural gas, ambapo UK anaililia ije hapo Kenya kwa ajili ya power generation
 
Mifumo ya gesi ndio itahitajika huko mbeleni sio hayo matakataka yenu
 
Mleta mada ni juha la mwisho.
 
Wapi walipoandika mapipa bil 4.8? Nimeoni barrels mil.700 tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…