Mafuta mengi sana yagunduliwa Lamu

I no longer get excited over minerals. Ni Mali ya wanaomine. Oneni majirani wana minerals kiasi gani yet kila siku wanapigwa wamebaki LDC hii miaka yote.
Mzungu ndio mwenye mali maana ndio kagundua sasa nyie wengine mnashangilia mali ya watu 😄😄😄
 
Kugundua mafuta sio tatizo ila kasome European Vision of 2030 .Tatizo Dunia inapoelekea ni kwenye matumizi ya nishati ipi.
Hii pia itatucost Tzn na ma fossil fuels reserves yetu,yapo tuu wakati miaka 20-30 ijayo yatapigwa marufuku kutumika Duniani.
 

Kenya’s Indian Ocean oil dream fades as test drilling gives negative results​



TUESDAY MARCH 29 2022​


Results of the exploration released by Italian energy group Eni, show that the well proved nonviable and was to be “plugged” and “abandoned,” after it failed to hit commercial oil reserves. PHOTO | COURTESY

Summary

  • Results of the exploration released by Italian energy group Eni, show that the well proved nonviable and was to be “plugged” and “abandoned,” after it failed to hit commercial oil reserves.
  • While production was years off even in the event of a big oil discovery, the latest results have killed Kenya’s dreams of exploiting what is believed to be huge offshore oil and gas deposits for now.
  • The Eni well is located approximately 170km from the coast, underneath the ocean seabed where Eni has been prospecting and drilling for oil.



By BRIAN NGUGI
More by this Author

Mlima-1, the well in the Lamu Basin, off Kenya’s Indian Ocean coast recently touted as the country’s first offshore oil strike, is commercially unviable.

Results of the exploration released by Italian energy group Eni, show that the well proved nonviable and was to be “plugged” and “abandoned,” after it failed to hit commercial oil reserves.

The result has dealt a blow to Kenya’s hopes of being a commercial offshore oil-producing country. While production was years off even in the event of a big oil discovery, the latest results have killed Kenya’s dreams of exploiting what is believed to be huge offshore oil and gas deposits for now.

Geological and seismic surveys show that between four billion and 4.5 billion barrels of oil could be laying deep under the waters of the Indian Ocean. Early data had indicated the existence of oil reserves, what is technically referred to as ‘‘an active petroleum system’’ in the area.

The well in the Lamu Basin had been widely tipped to offer Kenya another chance at becoming an oil producer, a decade after British exploration firm Tullow Oil made Kenya’s first oil find in Turkana County’s South Lokichar sub-basin, which is yet to be commercialised.

The Eni well is located approximately 170km from the coast, underneath the ocean seabed where Eni has been prospecting and drilling for oil. Eni’s drillship, SAIPEM 12000, has been on location within Block L11B since late December 2021.

The drilling was delayed by a number of factors including requirements to comply with Ministry of Health Covid-19 protocols.

Oil and gas explorers use seismic surveys to produce detailed images of the various rock types and the location beneath the earth’s surface and to determine the location and size of potential oil and gas reservoirs.

A positive strike at the well in the Lamu Basin would have intensified Kenya’s on it’s maritime borders amid a maritime border row with Somalia. The basin lies within the disputed territory.

Tullow has been under pressure from Kenya to develop the Turkana oil wells that it expects to produce up to 120,000 barrels per day once production starts.

Tullow and its partners in the project, Africa Oil and Total, had initially planned to reach a final investment decision in 2019 and production of the first oil between this year and next year.

In October last year, Tullow presented a revised Field Development Plan for oil in the Turkana oil fields to the government of Kenya just in time to beat the set deadline of December 2021.

Had the plan not been submitted in time, then they would have risked losing concession on their exploration block as stipulated in the production sharing contract.

The British firm expects to recover 585 million barrels of oil from the project over the full life of the field.

The commercially extractable volume for the Turkana South Lokichar basin rose to 585 million barrels from the previous estimate of 433 million barrels, according to British petroleum consulting firm Gaffney Cline Associates.


MY TAKE
´Na zile kelele zinaishia hapa!
CC: Tony254
 
Mwishowe hayana msaada kwa wakenya

Ova
 
Ndio sababu nimecheka Sana na Wala sijishughulishi na hii habari, hawa jamaa wanamatatizo ya akili, hakuna mafuta hapo ni kelele tupu Kama kawaida Yao.
Tony254
@Tony254 unaikumbuka hii post yangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lme
Lame economy? 😂 😂 😂
This is a perfect example of the pot calling the kettle black!
 
Mkuu nimeipenda hiyo kauli yako ya "malipo hapahapa DUNIANI"
 
Oya mbona emoji mingi namna hii? Halafu hujisikii aibu kwamba Kenya hatuna madini lakini tumewapiga kwenye karibia kila kigezo kiuchumi?
 
Yako wapi sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji1787]

Ona mdomo wake jinsi ulivyompana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sura imekushuka kwa aibu, lete hiyo report basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Oya emoji mingi namna hii? Halafu hujisikii aibu kwamba Kenya hatuna madini lakini tumewapiga kwenye karibia kila kigezo kiuchumi?
Uchumi upi unazungumzia? Kenya na Tz ipi yenye uchumi mkubwa? Tunawalisha alafu itakuwaje muwe na uchumi mkubwa kuliko Tz, tunafanya miradi mikubwa ambayo thamani yake ni zaidi ya miradi yote inayofanyika Uganda, Rwanda, Burundi, DRC and Kenya combined, nani mwenye uchumi mkubwa hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kilaza nikuulize miradi gani hizo mnafanya na zimekamilika? pesa ngapi hadi sasa zimetumika kwa hizo miradi? najua ni kidogo sana, yaani ukubwa wa miradi ni kwa makaratasi, hela zikowapi? alafu tangu lini Tanzania ikalisha Kenya? leta dhibitisho? ama haujui maana ya neno kulisha kilaza? nitag ukipata jibu., nyie fukara hamjiwezi kabisaa, Kenya ni soko lenu, tukifunga boda ufukara wenu unawatesa hadi basi, hela ya kununua chumvi na panty mnakosa, tuko na jeuri ya hela.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…