Mafuta na gesi ya Russia yaendelea kwenda kwa wingi India, China na nchi za EU. Hizo za ulaya wanayanunua kwa rubles

unahemwa tu.amesema juz wao wapo tayar ku cooperate na any one sas ina faid gan kufuta had timu za mpira au za kwenye game au
 
Hii ni kweli kabisa, nilishangaa World Bank kutoa Mkopo kwa Ukraine ambayo IPO vitani.
 
January makamba bila hata ya aibu jana anadiriki kusimama na kukiri kuwa yeye na wizara yake nzima wamekosa "way forward" ya kufanya kuhusu swala la mafuta (hopeless kabisa), mpaka anafikia hatua ya kukaribisha watanzania wenye maoni/Ushauri nzuri wa nini cha kufanya ili kuweza kujitokeza kuishauri wizara yake.
 
duh ila we jamaa mwongo!! ndo maana unashindwa hata kupangilia sentensi vizuri, maneno mengi hayasomeki vizuri kisa uongo, unakimbizana na keyboard ili uingie uzi mwingine ukaendelee kudanganya.... ila we jamaa muongo
Mkuu jamaa liongo sana. Linaleta story za vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…