TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
HaBari wadau..!
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"usithubutu kwenda hospital".,ilisikika sauti ya mzee mmojaNenda hospital ukamtoe huyo funza
Ova
Kashaiva teyari,kila ukikamua anurudi tenaSio dawa sahihi utaozesha kidole, huyo mdudu kwenye kidole ni aina ya fangasi kwenye mishipa ya damu haina tofauti sana na jipu. Anauma Sana kabla hajaiva ila akishaiva anapoa ndio unakamua usaha, tumia pain killer anapouma mpaka aive
Umemkamua hajaiva huyo ndio maana anarudi nenda hospitaliKashaiva teyari,kila ukikamua anurudi tena
Usiogope maumivu ila huko ndiko watamtoa for good"usithubutu kwenda hospital".,ilisikika sauti ya mzee mmoja
sio mimi boss ni wife,hapo ndio shidaUsiogope maumivu ila huko ndiko watamtoa for good
Ova
Toboa kidogo kwenye hicho kidole then mwagia kidogo maji ya betri, inawasha sana ila kwa muda mfupi tu. Baada ya masaa utaanza kuona panakauka kabisa na mdudu hatakuwepo tena kidoleniHaBari wadau..!
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Ulishawai kupatwa na tatizo na ukatumia hii njia ukafanikiwa au ulisikia tu kwa mtu?Kama ulishawai npe ushuuda ulivyofanya ukamaliza tatizo iliToboa kidogo kwenye hicho kidole then mwagia kidogo maji ya betri, inawasha sana ila kwa muda mfupi tu. Baada ya masaa utaanza kuona panakauka kabisa na mdudu hatakuwepo tena kidoleni
Ushashuudia mtu anaoza kidole baada ya kutumia maji ya betri mkuu??Sio dawa sahihi utaozesha kidole, huyo mdudu kwenye kidole ni aina ya fangasi kwenye mishipa ya damu haina tofauti sana na jipu. Anauma Sana kabla hajaiva ila akishaiva anapoa ndio unakamua usaha, tumia pain killer anapouma mpaka aive
Kuna uhusiano gani kati ya papuch na mdudu wa kidole kisayansi??Nenda hospital ukamtoe huyo funza
Ova
Atajua yeye sasa😂😂😂maji ya betr unataka kumpaka mkeo!? ataweza kuvumilia?
Sijasikia kwa mtu mkuu, mwaka 2014 nilipatwa na hiyo ndude, nikafanya kama nilivokwambia.Ulishawai kupatwa na tatizo na ukatumia hii njia ukafanikiwa au ulisikia tu kwa mtu?Kama ulishawai npe ushuuda ulivyofanya ukamaliza tatizo ili
Ulitoboa kidogo pale palipovimba ukanyunyizia au uliweka maji ya betri kwenye kizibo na ukachova kidole??Sijasikia kwa mtu mkuu, mwaka 2014 nilipatwa na hiyo ndude, nikafanya kama nilivokwambia.
Ufanisi ulikua 100%
Sio kuoza ila kuharibu maumbile ya awali ya kidole. Mimi nilishapata huyo mdudu nikafuata ushauri kidole kilipona bila kuharibu muonekanoUshashuudia mtu anaoza kidole baada ya kutumia maji ya betri mkuu??
Funguka ilikuwaje?Sio kuoza ila kuharibu maumbile ya awali ya kidole. Mimi nilishapata huyo mdudu nikafuata ushauri kidole kilipona bila kuharibu muonekano