mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Zile za forodhani nazo wanatumia yapi?Mafuta kwenye transfomer hutumika kupoozea mitambo na hivyo kwenye miili yanatumika kupoozea joto! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapemba mtakwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile za forodhani nazo wanatumia yapi?Mafuta kwenye transfomer hutumika kupoozea mitambo na hivyo kwenye miili yanatumika kupoozea joto! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mafuta ya transfoma ndio mwendo kwa Sasa!
Acha kulia lia,fanyakazi.Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Huyu amekitana na wajanja,wwnampiga bei kubwa.Viazi bei gani??
Hapa nnapoishi hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??
Acha kujiliza liza.Tafuta pesa.Dada! Sasa kazi na mafuta ya transfoma wapi na wapi?
Sasa hivi wana mbadala, wanatumia ya mbuzi katoliki ni cheap.Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Hayo Mafuta ya transfoma mbona yapo toka enzi ya Mzee Ruhksa,wwe ndiyo wajuwa leo!?Mafuta ya transfoma ndio mwendo kwa Sasa!
Lakini vitoto ndiyo vinazidi kuongezeka kila Kona hadi vingine havina hata wa kuwalea! Bora nguvu zipunguzwe tu watu wasizaliane sana!!Duhhh....[emoji3525]
Naona tunazidi kupoteza nguvu ya taifa....[emoji38]
Wenye Viwanda vyao Wana bana production kidogo ili kutengeneza demand ili bei ipande yenyewe kutokana na soko!!tatizo ni nin, Mikoa inayolima alizeti, michikichi na ufuta tunayo sana tz, tunafeli kwa wawekezaji au na ilo pia imesabàbishwa na urusi
kama nimesema uongo basi,tuseme imetokea mtaani kwenu mkuuUongo huo mtaa hauna Jina?
Maisha yamekua ya ghali ghafla then serikali iko kimya sijui kwa nini!!!!yaani mmechoka kuambiwa rim bunda moja15 etiiNyie mnasema hivyo naombeni Pia mjaribu kuuliza pia bei ya Karatasi rim paper mtazirai kama sio kufa kama karatasi nazo zimekua anasa Carton kwa dar sasa hivi ni 70k huku mwanza 60 mpka 65k