CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Tanzania itakua ndio kimbilio la kila nchi yenye watu waliogoma kupungua uzito na unene
hivi unakuja Tanzania nchi hatuna mafuta tunakula michemsho tu dadadeki,unanenepaje
ndio mana siku hizi idadi ya watu wanene road imepungua,nikahisi labda mazoezi yamekubali
kumbe mama anapunguza watu mafuta mwilini,sio siri Tanzania patamu,mchina sasa hivi
anashusha makontena ya mafuta ya kupikia ndio mtajua hamjui Mpke wali na mafuta taa au mnunue mafuta yakupkia ya kichina...
hivi unakuja Tanzania nchi hatuna mafuta tunakula michemsho tu dadadeki,unanenepaje
ndio mana siku hizi idadi ya watu wanene road imepungua,nikahisi labda mazoezi yamekubali
kumbe mama anapunguza watu mafuta mwilini,sio siri Tanzania patamu,mchina sasa hivi
anashusha makontena ya mafuta ya kupikia ndio mtajua hamjui Mpke wali na mafuta taa au mnunue mafuta yakupkia ya kichina...