Mafuta ya kupikia yaadimika mitaani

Tanzania itakua ndio kimbilio la kila nchi yenye watu waliogoma kupungua uzito na unene

hivi unakuja Tanzania nchi hatuna mafuta tunakula michemsho tu dadadeki,unanenepaje

ndio mana siku hizi idadi ya watu wanene road imepungua,nikahisi labda mazoezi yamekubali

kumbe mama anapunguza watu mafuta mwilini,sio siri Tanzania patamu,mchina sasa hivi

anashusha makontena ya mafuta ya kupikia ndio mtajua hamjui Mpke wali na mafuta taa au mnunue mafuta yakupkia ya kichina...
 
Mafuta yapo tele ttzo Bei kila duka naona mafuta ila Bei ndio ishu mM ssh kashindwa hata kudhibiti mfumuko wa Bei yey anaweza nn jmn huyu bb wa Zanzibar Kaz kuchamba tu Ila Kaz hawezi na ujui ufatiliaji wa kuleta tija
 
Tumia mafuta ya kitimoto utanishukuru
 
Pikia mafuta ya nazi.
 
Nani kakwambia vijijin hawatumii mafuta??.
Usije ukadhani siku hzi kuna vijiji kama vya zamani now days vijijin wanaishi maisha mazuri kuliko ata mjini utofauti ni maghorofa na Range Rovers za wahindi tu.
 
Kuna mnyama flani ana mafuta ya kutosha. Hamieni huku wenzenu muda mrefu tushahamia
 
Inabidi tujifunze kula michemsho sasa Hayo machemical yanayowekwa humo bora mchemsho au nazi tu,,,Sunflower oil mazuri kama ukitengeneza mwenyewe,Wanasema kila kitu ni kizuri kama ukiandaa mwenyewe!!!Organic Virgin Olive oil ndio mafuta mazuri sema hiyo bei yake sasa hahaha ila nayo sijui kama hayakosi chemical humo!
 
Tunaingia kwenye Mfungo soon,
Huyu Mama naamini ni muumini mzuri tu wa dini yake, anaelewa umuhimu wa mfungo kwa kwa muumini, na umuhimu futari kwa aliefunga.

Chonde Chonde mama, fanya kitu angalau tufurahie mfungo. Hivi kweli kama tunafunga huku tunanung'unika bei za vyakula zimepanda itakua ni salama kweli kwa aliesababisha haya madhila?

Wewe kwa Nafasi yako kama Rais unaweza kuzuia hili, aliepita aliweza vipi wewe ushindwe? Jitahidi uzuie hili tatizo ili usionekane wewe ni either sehemu au chanzo cake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…